Njoo uniunganishie dot tafadhali

Njoo uniunganishie dot tafadhali

simple mama atakua amemuelezea mganga aina ya simu, mganga alipo lipwa ada ya kazi yake akaenda kununua simu, ili kununua simu nyingine mjini shule, hii tunaita kununua simu

kipao mbele cha kwanza hadi cha tatu ni elimu
 
Pole mwaya....
Waganga ni waongo na wachonganishi tu...


mie O level nimesomaga huko bush, wakati nasoma kuna dada
mmoja tunakaa hosteli next room akaibiwa vistiker sijui na vitu gani vingine
hata sikumbuki akasema anaenda kwa mganga huyo mganga eti
akasema mimi ndio nimeiba Dah, wakati hata sikuwahi kuiba wala kujua vikoje
alinisababishia mfadhaiko mbaya.....
 
Tobaaaaaa.......


C

Wachawi wapo tena Sana, wanga wapo tena kila mahali matapeli pia wapo na hubahatisha... Nimekaa kwenye hii fani nikajifunza vyote nikapractice tena kwa kufanya colabo ya uchawi na supernatural powers, nikakumbana na vitisho na vigagula hasa kwenye fani
Wachawi wa kweli Wanatumikia nguvu wasizomiliki na chochote kinachopatikana si chao wao ni mawakala tuu na ndio maana huwa maskini wa kutupwa
 
sio waganga wote waongo. tena mwogope sana mganga wa kurithishwa.
 
Mganga ni mtu wa wapi?
sio mpemba?

mimi naamini hiyo simu haikuibiwa
ilikuwa misplaced tu hapo nyumbani
mganga aliweza gundua hilo ndo maana akampa siku saba ataipata
si ajabu mumewe aliichukua aikague kwa wivu
halafu ndo kajifanya kaipata
mganga si ajabu anawajua vizuri yeye na mume wake
 
Mganga ni mtu wa wapi?
sio mpemba?

mimi naamini hiyo simu haikuibiwa
ilikuwa misplaced tu hapo nyumbani
mganga aliweza gundua hilo ndo maana akampa siku saba ataipata
si ajabu mumewe aliichukua aikague kwa wivu
halafu ndo kajifanya kaipata
mganga si ajabu anawajua vizuri yeye na mume wake

Hahahaha!! Mweee!!! Mme wake hana wivu hata akimkuta anabanjuliwa huwa anaondoka zake kulewa.
 
Ngoja na mimi najaribu kuunganisha dot.

Ni hivi…… Wewe Apologise lady kuna jambo linakutatiza hapo ulipo, huoni solution kama njia ya kuliebuka, unasita kwenda kwa sangoma kuhofia utatapeliwa au kusutwa na nafsi baada ya kwenda kwa kuwa una mashaka. Kwahiyo mada yako hii umeileta ili kupima maoni ya watu kama huko u.nakotaka kwenda(kwa sangoma) kuna uhakika wa kupata ufumbuzi au lah.
ukosahihi mkuu kama anakataa aje akanushe hapa. you are super intelligent.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom