Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Wew acha uoga, kule wao wanagawa utajiri wakati wao maskini.
Na wewe unaenda huko?
Wew acha uoga, kule wao wanagawa utajiri wakati wao maskini.
Unakumbuka siku ile uliponiibia boxer yangu gesti?
Sijaacha elimu haina mwisho
mie O level nimesomaga huko bush, wakati nasoma kuna dada
mmoja tunakaa hosteli next room akaibiwa vistiker sijui na vitu gani vingine
hata sikumbuki akasema anaenda kwa mganga huyo mganga eti
akasema mimi ndio nimeiba Dah, wakati hata sikuwahi kuiba wala kujua vikoje
alinisababishia mfadhaiko mbaya.....
C
Wachawi wapo tena Sana, wanga wapo tena kila mahali matapeli pia wapo na hubahatisha... Nimekaa kwenye hii fani nikajifunza vyote nikapractice tena kwa kufanya colabo ya uchawi na supernatural powers, nikakumbana na vitisho na vigagula hasa kwenye fani
Wachawi wa kweli Wanatumikia nguvu wasizomiliki na chochote kinachopatikana si chao wao ni mawakala tuu na ndio maana huwa maskini wa kutupwa
Na wewe unaenda huko?
Aliyeiba ni jirani, kaogapa vitisho hakuna lolote hapo.
Mim damu ya Yesu inamaliza matatizo yangu yote.
Hiyo damu ya Yesu uliitoa wapi?
Mganga ni mtu wa wapi?
sio mpemba?
mimi naamini hiyo simu haikuibiwa
ilikuwa misplaced tu hapo nyumbani
mganga aliweza gundua hilo ndo maana akampa siku saba ataipata
si ajabu mumewe aliichukua aikague kwa wivu
halafu ndo kajifanya kaipata
mganga si ajabu anawajua vizuri yeye na mume wake
ukosahihi mkuu kama anakataa aje akanushe hapa. you are super intelligent.Ngoja na mimi najaribu kuunganisha dot.
Ni hivi Wewe Apologise lady kuna jambo linakutatiza hapo ulipo, huoni solution kama njia ya kuliebuka, unasita kwenda kwa sangoma kuhofia utatapeliwa au kusutwa na nafsi baada ya kwenda kwa kuwa una mashaka. Kwahiyo mada yako hii umeileta ili kupima maoni ya watu kama huko u.nakotaka kwenda(kwa sangoma) kuna uhakika wa kupata ufumbuzi au lah.
Ulienda lini kuichukua?
Siku ile ambavo hukuja kwenye misa.
Nami niletee kwenye chupa. Nataka kuiona rangi yake.