Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,054
- 6,281
mbona ni kawaida tu,kuna kanisa niliwai kusali marekan pastors amevaa cheni kubwa,ametelemsha suruali,amevaa heren na kofia na alikuwa anaubiri vizuri sana,na kuombea watu,tena ni kanisa kubwa sana