Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,302
- 96,516
Nguvu ya Panadol haijawahi kumwacha mrembo salama...Haha!, Ok ntajaribu kutafuta Asprin lakini naona Panadol ndo ina nguvu zaidi ama!..
Nguvu ya Panadol haijawahi kumwacha mrembo salama...Haha!, Ok ntajaribu kutafuta Asprin lakini naona Panadol ndo ina nguvu zaidi ama!..
hhahahhahahhahahaahhhhhhhhhhhhhahhhhhhhhhhhahhaah ! watu mnapenda kuchodha !ndio nilipata mwaya !ni yale yale mavi ya kuku !mie ney siku nikikuona nakuwekea hahahahahahahhaahhahahhahahhhah
Ney anataka kwa ajili ya pampula wake. Hataki asimame dede tena
Nguvu ya Panadol haijawahi kumwacha mrembo salama...
Haha ndiwooooMbona siwaelewi!, kwa hiyo dawa ya ma Pampula ndo mavi ya kuku??!!!
Mbona siwaelewi!, kwa hiyo dawa ya ma Pampula ndo mavi ya kuku??!!!
Nakushauri tumia Aspirin...Tehe!, Tehe!, wewe wasema babu..
Embu msisitize mbiti, maana mie naona ananichanganyia habari, sijui anafurahia pampula wangu kutembelea ukuta hapo sijamuelewa kwakweli
Haha ndiwoooo
ndio shogaa !!unasaga had iwe softyy haha unachagizia kwenye kinywaji !ntafanya
Utampelekea mbiti, amehitimu kuishi nao[emoji15] [emoji15]
Na ikiwa tofauti nawaleteeni mkae nae wallah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona neno PAMPULA limetawala sana baina ya comments nyingi za huu uzi.
Ni perfume mpya?
yes ni perfume new brand!lol
[emoji15] [emoji15]
Na ikiwa tofauti nawaleteeni mkae nae wallah!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni nzuri sana hiyo perfume mkuu, embu nunua jaribu kuitumia ikiisha unipatie kichupa chake nikiweke ndani ya mkoba wangu [emoji6]
hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaa
Haha sijawahi kuona mtu ananyonya beer khaaHeaven Sent jana Neybright hv hukumuona kachangamka sana ? hahaaah nilimkuta pm anaongeaaaaaaaa nikasema dogo we leo sio mzima !jaman alichonijibu had sasa nacheka !alisema mbiti kwangu napokaa nimezungukwa na BAR ! hahaha yaan hakuna kanisa wala misikiti sijanywa muda sanaaa bas leo nimezigida kwa kuzipapalikia baada ya kuagza hizo ndogo ye kaagiza maserengeti sijui yale makubwa anakuambia hakuagiza glass bali alikua ananyonyaaaaa jaman had nw nacheka jaman !dah huyu mdada huyu i wish nimuone! nikikutana na akili hiz huwa ni full vicheko aisee !raha sana yaan!
hahaah unaogopa awe zwazwa hhahha lol
hahhahahhahahahaha de toilete de' perfume
Haha sijawahi kuona mtu ananyonya beer khaa