MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
Ha haaa niwepo karibu
hahah haha zikipanda unaingia mindu area hahaha unatoa nux hahahaa huwa nikikumbuka mindu nakukumbuka wewe jaman nachekadah
Ha haaa niwepo karibu
Naona neno PAMPULA limetawala sana baina ya comments nyingi za huu uzi.
Ni perfume mpya?
Sio hivo best.. Mi sio mlevi hata kidogo. Nikinywa simkeri mtu.hahahahahahhaahahhahaahhahahahhahahahahahhhah !nilijua tu ndo maana majuz hukua uanshauri kitu hahahaha aya mama
Zilipanda udumbukie mindu hivi utatoka kweli!! Usinichekeshe mie jamani..hahah haha zikipanda unaingia mindu area hahaha unatoa nux hahahaa huwa nikikumbuka mindu nakukumbuka wewe jaman nachekadah
Sasa hiyo perfume inatambaa na baadae kutembea? Duuh, au unapulizia miguuni na kupandia mwilini?yes ni perfume new brand!lol
Zilipanda udumbukie mindu hivi utatoka kweli!! Usinichekeshe mie jamani..
Wivu sio dawa, Aspirin ni dawa ya kutuliza maumivu.
Ushaanza uchoyo, utamu huo tunaujua sisi ni zaidi ya keki njoo inbox nikueleweshehhahaha sina hata kimoja kitamu !kanunue keki ule
Ahahahaaaaaa uwiii mbavu zangu mieSasa hiyo perfume inatambaa na baadae kutembea? Duuh, au unapulizia miguuni na kupandia mwilini?
Maana aliyonayo Ney inatambaa.
Maajabu haya.
Ni nzuri sana hiyo perfume mkuu, embu nunua jaribu kuitumia ikiisha unipatie kichupa chake nikiweke ndani ya mkoba wangu [emoji6]Naona neno PAMPULA limetawala sana baina ya comments nyingi za huu uzi.
Ni perfume mpya?
Ni nzuri sana hiyo perfume mkuu, embu nunua jaribu kuitumia ikiisha unipatie kichupa chake nikiweke ndani ya mkoba wangu [emoji6]
Duh!. Inatengenezewa wapi Mkuu hiyo PAMPULA Perfume?Ni nzuri sana hiyo perfume mkuu, embu nunua jaribu kuitumia ikiisha unipatie kichupa chake nikiweke ndani ya mkoba wangu [emoji6]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh!. Inatengenezewa wapi Mkuu hiyo PAMPULA Perfume?
Nimeenda mpaka Google kuuliza lakini nimeambulia hewa.
Nina perfume yangu, lakini natamani niinunue hiyo PAMPULA nione maajabu yake ya kutambaa.
Wewe si unayo? Ulinunua wapi please?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja MBITIYAZA akupe maelekezo mazuri, mimi sio mwenyeji sana maeneo hayo zinapopatikana pampula perfume, mbiti pleeese tunaomba msaada wako tafadhali [emoji125][emoji125][emoji125]
Umeona nini hs? Yaan mimi jana kusema ukweli nimegeuziwa kibao kweli mbiti sio mtu mzuriMeonaaaaaaaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119]Wewe si unayo? Ulinunua wapi please?
Nitaitafuta kwa gharama yeyote. Mtambao wake ni wa kivipi? Ulisema inatambaa kama mtoto mdogo, Je unauona kabisa unavyotambaa?
Hii dunia ni ya maajabu.
Ngoja nigoogle, THE WALKING PERFUME.
Haha mbiti hafai kabisaUmeona nini hs? Yaan mimi jana kusema ukweli nimegeuziwa kibao kweli mbiti sio mtu mzuri
Wivu sio dawa, Aspirin ni dawa ya kutuliza maumivu.