MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,084
We MBITIYAZA acha hizo bana yaani vijana tupo wewe unafuata wahenga.!!??
hahaha nan anataka presha mkuu ! akuu unatulia na mhenga ushindwe wewe hahaha namtania tu elli bwana hata simfaham !lakini atakuwa mkaka wa wadhifa na hadhi yake !sio km kadagala1 ..na kweli wewe kadagaa lol