Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
Habari wakuu..huu uzi ni maalum kwa ajili ya kutabiri/kubashiri mambo au matukio yatakayotokea nchini na duniani kwa ujumla..ni kwa ajili ya burudani tu na kupima nguvu/bahati/kipawa ulichonacho juu ya utabiri..
Unaweza kutabiri chochote kile..kitakachotukia kabla ya desemba 2021.iwe siasa mchezo,elimu,watu,wanyama n.k
Karibuni
tukio likitokea kama lilitabiliwa humu basi utakuwa umetisha na utakuwa ni mmoja kati ya watu wenye vipawa duniani
Mi natabiri mwaka huu kuna timu moja kubwa sana hapa Tanzania itapata pigo kubwa kwa kufungwa 3-0 na timu ndogo ambayo wengi hawakudhania
Unaweza kutabiri chochote kile..kitakachotukia kabla ya desemba 2021.iwe siasa mchezo,elimu,watu,wanyama n.k
Karibuni
tukio likitokea kama lilitabiliwa humu basi utakuwa umetisha na utakuwa ni mmoja kati ya watu wenye vipawa duniani
Mi natabiri mwaka huu kuna timu moja kubwa sana hapa Tanzania itapata pigo kubwa kwa kufungwa 3-0 na timu ndogo ambayo wengi hawakudhania