Baba Rhobi
JF-Expert Member
- Nov 4, 2020
- 1,328
- 2,241
Wakuu mimi ni beginner kwenye hizo mambo za app development, nilipanga kujifunza app development, ila nikapata ushauri nijifunze web development (Front end) kwanza, nina endelea nayo, kwa sasa namalizia CSS, ni ingie Javascript.
Nika amua niweke sawa mazingira kabla ya kuanza ndo nikadownload Visual Studio code (ambayo naitumia pia kwa web development), kwa ajili ya kuja kujifunzia Flutter, sasa nikagundua ili niweze ku debug android app lazima niweze kuinstall Android SDK.
Hapo ndo mtiti ulipo, nimehangaika kuitafuta hiyo SDK kwa muda sasa ila sijaipata, niliyopata ni sdk tools, pamoja na platforms tools na command line tools, ambazo zote nimejaribu kiziweka kwenye android studio zimegoma, nimejaribu kuchange environment variables na zikawa sawa lakini wapi,
sasa naombeni wakuu msaada hapa namna ya
i- Kuinstall Android SDK (Ikiwezekana download link yake kabisa)
ii- Roadmap ya kujifunza app development. (Lengo langu ni kuweza kutengeneza software kwenye windows na Android itakayotumika kwenye presentation za ibadani kanisani.
(N.B) Hii nafanya kama Hobby na si kwa ajili ya kuja kujipatia kipato au vinginevyo.
Nika amua niweke sawa mazingira kabla ya kuanza ndo nikadownload Visual Studio code (ambayo naitumia pia kwa web development), kwa ajili ya kuja kujifunzia Flutter, sasa nikagundua ili niweze ku debug android app lazima niweze kuinstall Android SDK.
Hapo ndo mtiti ulipo, nimehangaika kuitafuta hiyo SDK kwa muda sasa ila sijaipata, niliyopata ni sdk tools, pamoja na platforms tools na command line tools, ambazo zote nimejaribu kiziweka kwenye android studio zimegoma, nimejaribu kuchange environment variables na zikawa sawa lakini wapi,
sasa naombeni wakuu msaada hapa namna ya
i- Kuinstall Android SDK (Ikiwezekana download link yake kabisa)
ii- Roadmap ya kujifunza app development. (Lengo langu ni kuweza kutengeneza software kwenye windows na Android itakayotumika kwenye presentation za ibadani kanisani.
(N.B) Hii nafanya kama Hobby na si kwa ajili ya kuja kujipatia kipato au vinginevyo.