Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,870
- 155,833
Habari ndio hiyo, nina fungu kutoka kwa nchi hisani kwa ajili ya kuwa assist wana JF ambao mishahara haijatoka na wanahitaji 20k to 30k.
Karibuni sana
Karibuni sana
Habari ndio hiyo MzeeDah!
Sijaelewa hapa, naomba uniweke wazi, Raimundo katapeli au katapeliwa?Mtamkondesha kijana wa watu huko alipo na ataichukia Jf..
Muacheni Apumue sasa yalishapita.
Ila bujibuji naomba uni ASSIST 30k..
Raimundonization haijawahi kumu Acha mtu salama
Du! hebu ongezea na nyama nyama kidogo Humphinicky!!!Raimundo ni bonge la tP
HAAAAAAAAAAA KUMBE HAO ULIOWATAJA NI MATAPELI NGOJA NIWAFWATILIE
HEEE KAFANYAJE JAMANI NI TAPELI WA MAPENZI AMA NINI?Raimundo ni bonge la tP
Mtamkondesha kijana wa watu huko alipo na ataichukia Jf..
Muacheni Apumue sasa yalishapita.
Ila bujibuji naomba uni ASSIST 30k..
Raimundonization haijawahi kumu Acha mtu salama
kevin isaya umetuaubisha wahayaHAAAAAAAAAAA KUMBE HAO ULIOWATAJA NI MATAPELI NGOJA NIWAFWATILIE
Raimundo anaazima/ anakopa 20-30,000/- halafu harudishi. Kawaumiza watu wengi sana jfDu! hebu ongezea na nyama nyama kidogo Humphinicky!!!
FANYAJE?kevin isaya umetuaubisha wahaya
HAHAHAHAHA MAKINIKIA KWAHIYO HATA WEWE UNAMDAI?Raimundo anaazima/ anakopa 20-30,000/- halafu harudishi. Kawaumiza watu wengi sana jf