Njiti za kiberiti kutoka Tanzania, TBS wapo kweli?

RoadLofa

JF-Expert Member
Mar 22, 2017
1,347
2,957
Hizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!

Njiti.png
Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!

Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!

Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
 
Unaweza kukuta huyo kajikunja mwenyewe mpaka kutengeneza hiyo ambayo bado unataka kuifananisha na za hao wengine wanaopata support kutoka taasisi za kifedha za mataifa yao ambayo wana mifumo inayoeleweka ya wajasiriamali.

Haujakosea ila zingatia na hayo kabla ya kulaumu.
 
Hizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!

Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!

Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!

Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
Ni kampuni gani mkuu
 
lab
Vinasumbua next time ntapost na kasha lake muijue brand
labda ni kampuni mpya na ni toleo la kwanza 🐒

Bilashaka watakua wamepata feedback kutoka kwa wateja wao ikiwa ni pamoja na wew.
Let's wait and see, tuwape mda kidogo as long as kinawasha moto japo kilegevu kama vile hakina pumz 🐒
 
lab

labda ni kampuni mpya na ni toleo la kwanza 🐒

Bilashaka watakua wamepata feedback kutoka kwa wateja wao ikiwa ni pamoja na wew.
Let's wait and see, tuwape mda kidogo as long as kinawasha moto japo kilegevu kama vile hakina pumz 🐒
😀😀Kilegevu na chembamba balaa sijui shida nini? Au ni kutoka ghetto industry
 
Hizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!

Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!

Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!

Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
Hatimaye kasha lake nimelipata ilo hapo
Ungeweka na kasha lake

Hizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!

Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!

Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!

Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
Kasha lake ilo nimelipata yaani wanazingua balaa
PXL_20240226_160410618.PORTRAIT.jpg
 
Back
Top Bottom