RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,347
- 2,957
Hizi ni njiti za kiberiti Tanzania na TBS wapo!
Hii ndio bidhaa ya Tanzania, sitotaja brand ila hizo ni njiti zinazozalishwa Tanzania. Hata kabla ya kuiwasha imeshajikunja, hata kwenye kuiwasha lazima ukaze mkono isijipinde na kuwaka ni kimbembe!
Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!
Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.
Tanzania kushindana na mataifa mengine kwenye uzalishaji wa bidhaa Bora tutasubiri sana, hata Kenya hatutowafikia, na wanaotufelisha ni viongozi!
Ifike kipindi tufanye reformation ya taasisi zetu na viongozi wajitafakari.