Haji Manara na fred Vunja Bei wanavyoathirika siasa za viwanjani Yanga na Simba

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Ipo siasa iliyopotea njia ndani ya nchi yetu. Ipo mikakati mfu yakiwekezaji isiyo na tija kwa Taifa letu. Wapo watu wanaamini kila Jambo lazima tuwe na viongozi wanaoongozwa na mfumo wa kisiasa. Wapo watu wanaishi vizuri kwa mwonekano wa nje lakini si kwa mwonekano wa ndani. Chama kinatafuta kushika kila Kona yenye wananchi, ajira zinatoka kwa wale wanaoweza kuweka maslahi ya chama mbele siyo wanaotakiwa kusogeza fani au shirika mbele.

Wapo watu wanataka kutuaminisha kwamba Manara aliamka asubuhi tu nakujikuta yupo Yanga, naomba niwaambie leo hii wafadhili wa Yanga SI Mashabiki wa Yanga na waumini wa mpira bali niwafanyabiashara ambao kwao uwekezaji wowote hata usio na tija ila wenye multiplayer effects kwao basi wataukumbatia. GSM ni akina Nani? Na manara ni Nani? Tunataka furaha ya leo bila kuwaza furaha ya kesho.....hakuna uwekezaji serious utatokana na GSM na hakuna hamasa serious na yakudumu itakayotokana na Manara. Isipokuwa ipo faida ya mnyororo wa biashara za watu flani na malengo ya kisiasa vitapitia upenyo huu kuvuka na kwenda mbele.

Yupo Fred Vunja Bei ambaye akaunti zake za mitandao ya kijamii zinaonyesha hadi kufikia mwaka Jana alikuwa anauza nguo za kiume zisizovuka 19000@ trauzer au t-shirts na zote hizi alikua anaagiza nakuuza kama wanavyouza machinga wengine. Leo sawa tunamwita mjasiriamali na kijana aliyepata mafanikio Tanzania, we are wrong Hawa siyo wafanyabiashara bali niwanasiasa waliotegesha mirija yakupata feva nakupewa kazi kwa kuzingatia regime iliyopo. The guy can not compet kwenye tenda, na hii ipo wazi. Leo mfumo ukibadilika hakuna uhakika kwamba Vunja Bei shops zitakuwepo, na hata kwa mfumo uliopo hakuna uhakika kwamba Vunja Bei wanazo bidhaa zakuvuka mpaka zinazozalishwa kwa jina na umiliki wao. Simba na Yqnga walipaswa kuwekeza ndani na nje na ili kufanikisha ilo wangeondoa kupeana tenda kisiasa wakapeana tenda kulingana na ushindani wa biashara.

Manara na Vunja Bei ni watu wanaokwamisha ushindani wa fikra kwa sababu awafanyi mambo kwa nguvu zao wenyewe Bali wanabebwa na mfumo...kwenye business mtu yeyote au kampuni yoyote inayoishi kwa kutegemea mfumo uliopo wa siasa itakufa mara mfumo utakapokufa au baadhi ya watu kubadilika.

Timu za Ulaya zipo beyond mfumo wa kisiasa ndo maana any regime haiwezi kuziathiri. Sisi tumefanya Yanga na Simba kuwa matawi ya vyma vya siasa. Tushangilie leo bila kujiwekea malengo yakushangilia kesho. Tuuze utu na uwezo wetu kwa watu wasiothamini maumivu yetu pale wanaposhiba.

Nimtazamo binafsi na siyo lazima iwe kweli Wala isiwe kweli.
 
Binafsi sipendi sana kulaumu maisha ya watu ambao wanaweza kuwa hawanihusu.
Mfano huyo vunjabei au manara afanikiwe au asifanikiwe mimi hakuna nachopata au kukosa.
Ila angekuwa kiongozi wa serikali hapo ningekuelewa, maana kiongozi wa serikali ana nafasi ya kuathiri maisha yangu kupitia maamuzi yake.
 
.
giphy.gif
 
Binafsi sipendi sana kulaumu maisha ya watu ambao wanaweza kuwa hawanihusu.
Mfano huyo vunjabei au manara afanikiwe au asifanikiwe mimi hakuna nachopata au kukosa.
Ila angekuwa kiongozi wa serikali hapo ningekuelewa, maana kiongozi wa serikali ana nafasi ya kuathiri maisha yangu kupitia maamuzi yake.
Wewe kalaga baho hujui sihasa chafu
Uliza Urusi na Marekani
Gorbachevu alivyo pandikizwa Urusi na
Urusi ilivyo ingilia uchaguzi Marekani na kufanikisha
 
Nimesoma mada yake,nikarudia tena na tena,nikawa najaribu kumwelewa mleta mada alitaka kumaanisha nini,lakini nikaambulia patupu.Sijaweza kuelewa GSM,Manara Vs FreddyVunjabei basis gani katumia kuwaweka pamoja na kuwaangushia furushi la lawama.
Time will tell.
 
Nimesoma mada yake,nikarudia tena na tena,nikawa najaribu kumwelewa mleta mada alitaka kumaanisha nini,lakini nikaambulia patupu.Sijaweza kuelewa GSM,Manara Vs FreddyVunjabei basis gani katumia kuwaweka pamoja na kuwaangushia furushi la lawama.
Ni kama mleta mada anataka kusema Simba wamekosea kumpa tenda vunja bei,na kumpa vunja bei kuna mkono wa mtu ,halafu manara hakustahili kuwa msemaji wa Yanga ila gsm kaangalia zaidi biashara.

Inshort mleta mada aachane na mpira hajui lolote kuhusu mpira
 
Muwekezaji yoyote anawekeza ili kupata faida. Asilimia kubwa ya wafanyabiashara ni makada sasa unategemea nini hapo.

Wafanyabiashara wangapi unawajua na ni manguli kuliko huyo Vunjabei wapo bungeni ? Maana siasa za kiafrika zinalipa kuliko hata uwekezaji.
 
Nimesoma mada yake,nikarudia tena na tena,nikawa najaribu kumwelewa mleta mada alitaka kumaanisha nini,lakini nikaambulia patupu.Sijaweza kuelewa GSM,Manara Vs FreddyVunjabei basis gani katumia kuwaweka pamoja na kuwaangushia furushi la lawama.
Yani hata Mimi sijamwelewa, Manara kafanyaje Kwa Vunjabei, make Manara no bwabwaja tu na VB ni mwekezaji wa Simba, wapi na wapi?
 
Nikuweke sawa kwanza VUNJABEI nguo zilikuwepo kulingangana pesa yako na quality unayoitaka hadi za elf 30 50 kuendelea na maduka mengi yanayoandika kwa maandishi makubwa kwenye milango ya kioo jeans elf 20000 tsht 10000 ukiingia ndani tshrt za 10000 utaziona lkn utaziluka utaenda mwenyewe lwenye tshrt za elf 20 au elf 30 kufuata ubora hata VUNJA BEI ilikuwa ipo hivyo kbla hata hajaingia mkataba na simba kusema hajawahi kuwa na nguo zaidi ya elf 19 si sahihi nahisi haujawahi kufanya hata window shopping katika hayo maduka
 
We ungejikita kwenye siasa, huku unapwaya.

Unajua ni wachezaji wangapi wamesajiliwa chini ya GSM?
Unajua kuwa Yanga imechukua kombe, kufika fainali moja na kuwa wa pili kwenye ligi chini ya GSM?
Unajua kuwa mchakato wa mabadiliko unaendelea vizuri chini ya GSM?

Hivi unajua kuwa GSM ni muunganiko wa watu watatu na kuna watu kadhaa nje ya hao watatu wenye hisa? Kwenye hilo kundi wote ni Simba?
Tuchukulie wote ni Simba, ikiwa inawalipa kibiashara na Yanga inapiga hatua, we shida yako ni nini?

Manara kazi yake kuongea, ulitaka astaafie Simba? Unadhani atastaafia Yanga?

Vunjabei hatoi hela?
Wafanya biashara hukopa na wakati mwingine kuunganisha nguvu, ikiwa Fredy kafanya hivyo unadhani ni makosa au ndo ufanya biashara wenyewe?

Siku nyingine ukiandika weka ushahidi, lasivyo unaonekana unaongozwa na mihemko.
Ipo siasa iliyopotea njia ndani ya nchi yetu. Ipo mikakati mfu yakiwekezaji isiyo na tija kwa Taifa letu. Wapo watu wanaamini kila Jambo lazima tuwe na viongozi wanaoongozwa na mfumo wa kisiasa. Wapo watu wanaishi vizuri kwa mwonekano wa nje lakini si kwa mwonekano wa ndani. Chama kinatafuta kushika kila Kona yenye wananchi, ajira zinatoka kwa wale wanaoweza kuweka maslahi ya chama mbele siyo wanaotakiwa kusogeza fani au shirika mbele.

Wapo watu wanataka kutuaminisha kwamba Manara aliamka asubuhi tu nakujikuta yupo Yanga, naomba niwaambie leo hii wafadhili wa Yanga SI Mashabiki wa Yanga na waumini wa mpira bali niwafanyabiashara ambao kwao uwekezaji wowote hata usio na tija ila wenye multiplayer effects kwao basi wataukumbatia. GSM ni akina Nani? Na manara ni Nani? Tunataka furaha ya leo bila kuwaza furaha ya kesho.....hakuna uwekezaji serious utatokana na GSM na hakuna hamasa serious na yakudumu itakayotokana na Manara. Isipokuwa ipo faida ya mnyororo wa biashara za watu flani na malengo ya kisiasa vitapitia upenyo huu kuvuka na kwenda mbele.

Yupo Fred Vunja Bei ambaye akaunti zake za mitandao ya kijamii zinaonyesha hadi kufikia mwaka Jana alikuwa anauza nguo za kiume zisizovuka 19000@ trauzer au t-shirts na zote hizi alikua anaagiza nakuuza kama wanavyouza machinga wengine. Leo sawa tunamwita mjasiriamali na kijana aliyepata mafanikio Tanzania, we are wrong Hawa siyo wafanyabiashara bali niwanasiasa waliotegesha mirija yakupata feva nakupewa kazi kwa kuzingatia regime iliyopo. The guy can not compet kwenye tenda, na hii ipo wazi. Leo mfumo ukibadilika hakuna uhakika kwamba Vunja Bei shops zitakuwepo, na hata kwa mfumo uliopo hakuna uhakika kwamba Vunja Bei wanazo bidhaa zakuvuka mpaka zinazozalishwa kwa jina na umiliki wao. Simba na Yqnga walipaswa kuwekeza ndani na nje na ili kufanikisha ilo wangeondoa kupeana tenda kisiasa wakapeana tenda kulingana na ushindani wa biashara.

Manara na Vunja Bei ni watu wanaokwamisha ushindani wa fikra kwa sababu awafanyi mambo kwa nguvu zao wenyewe Bali wanabebwa na mfumo...kwenye business mtu yeyote au kampuni yoyote inayoishi kwa kutegemea mfumo uliopo wa siasa itakufa mara mfumo utakapokufa au baadhi ya watu kubadilika.

Timu za Ulaya zipo beyond mfumo wa kisiasa ndo maana any regime haiwezi kuziathiri. Sisi tumefanya Yanga na Simba kuwa matawi ya vyma vya siasa. Tushangilie leo bila kujiwekea malengo yakushangilia kesho. Tuuze utu na uwezo wetu kwa watu wasiothamini maumivu yetu pale wanaposhiba.

Nimtazamo binafsi na siyo lazima iwe kweli Wala isiwe kweli.
 
Michango ya wadau wengi imeshafafanua vema,mleta mada akiwa mtulivu kwenye comment ataelewa.kuna mambo mengi hayajui kuhusu biashara ya vunja bei,Manara na soka la bongo.
 
We ungejikita kwenye siasa, huku unapwaya.

Unajua ni wachezaji wangapi wamesajiliwa chini ya GSM?
Unajua kuwa Yanga imechukua kombe, kufika fainali moja na kuwa wa pili kwenye ligi chini ya GSM?
Unajua kuwa mchakato wa mabadiliko unaendelea vizuri chini ya GSM?

Hivi unajua kuwa GSM ni muunganiko wa watatu na kuna watu kadhaa nje ya hao watatu wenye hisa? Kwenye hilo kundi wote ni Simba?
Tuchukulie wote ni Simba, ikiwa inawalipa kibiashara na Yanga inapiga hatua, we shida yako ni nini?

Manara kazi yake kuongea, ulitaka astaafie Simba? Unadhani atastaafia Yanga?

Vunjabei hatoi hela?
Wafanya biashara hukopa na wakati mwingine kuunganisha nguvu, ikiwa Fredy kafanya hivyo unadhani ni makosa au ndo ufanya biashara wenyewe?

Siku nyingine ukiandika weka ushahidi, lasivyo unaonekana unaongozwa na mihemko.
Amekurupuka Sana,mtu kama vunja bei hawezi kushindwa kuchukua tenda ya jezi ,alipofikia ana connection kubwa ,pia huwezi kujua vunja Bei kakopa au matajiri wenzake wamemkopesha ,hata Kama ni connection za ccm ndo biashara inavyotaka.Halafu Manara kuwa Yanga sijui ccm inahusika vipi.mleta mada haelewi lolote
 
Umeongea point hata wakatiule wa yule mlevi Piere Liquid ilikuwa siasa tu
Mkuu Piere Liquid katoka kivyake wala hata siyo ishu ya siasa,hakuna asiyemjua Piere alivyokuwa anachekesha huko kwenye bar na mara clip zikaanza kusambaa
 
Ipo siasa iliyopotea njia ndani ya nchi yetu. Ipo mikakati mfu yakiwekezaji isiyo na tija kwa Taifa letu. Wapo watu wanaamini kila Jambo lazima tuwe na viongozi wanaoongozwa na mfumo wa kisiasa. Wapo watu wanaishi vizuri kwa mwonekano wa nje lakini si kwa mwonekano wa ndani. Chama kinatafuta kushika kila Kona yenye wananchi, ajira zinatoka kwa wale wanaoweza kuweka maslahi ya chama mbele siyo wanaotakiwa kusogeza fani au shirika mbele.

Wapo watu wanataka kutuaminisha kwamba Manara aliamka asubuhi tu nakujikuta yupo Yanga, naomba niwaambie leo hii wafadhili wa Yanga SI Mashabiki wa Yanga na waumini wa mpira bali niwafanyabiashara ambao kwao uwekezaji wowote hata usio na tija ila wenye multiplayer effects kwao basi wataukumbatia. GSM ni akina Nani? Na manara ni Nani? Tunataka furaha ya leo bila kuwaza furaha ya kesho.....hakuna uwekezaji serious utatokana na GSM na hakuna hamasa serious na yakudumu itakayotokana na Manara. Isipokuwa ipo faida ya mnyororo wa biashara za watu flani na malengo ya kisiasa vitapitia upenyo huu kuvuka na kwenda mbele.

Yupo Fred Vunja Bei ambaye akaunti zake za mitandao ya kijamii zinaonyesha hadi kufikia mwaka Jana alikuwa anauza nguo za kiume zisizovuka 19000@ trauzer au t-shirts na zote hizi alikua anaagiza nakuuza kama wanavyouza machinga wengine. Leo sawa tunamwita mjasiriamali na kijana aliyepata mafanikio Tanzania, we are wrong Hawa siyo wafanyabiashara bali niwanasiasa waliotegesha mirija yakupata feva nakupewa kazi kwa kuzingatia regime iliyopo. The guy can not compet kwenye tenda, na hii ipo wazi. Leo mfumo ukibadilika hakuna uhakika kwamba Vunja Bei shops zitakuwepo, na hata kwa mfumo uliopo hakuna uhakika kwamba Vunja Bei wanazo bidhaa zakuvuka mpaka zinazozalishwa kwa jina na umiliki wao. Simba na Yqnga walipaswa kuwekeza ndani na nje na ili kufanikisha ilo wangeondoa kupeana tenda kisiasa wakapeana tenda kulingana na ushindani wa biashara.

Manara na Vunja Bei ni watu wanaokwamisha ushindani wa fikra kwa sababu awafanyi mambo kwa nguvu zao wenyewe Bali wanabebwa na mfumo...kwenye business mtu yeyote au kampuni yoyote inayoishi kwa kutegemea mfumo uliopo wa siasa itakufa mara mfumo utakapokufa au baadhi ya watu kubadilika.

Timu za Ulaya zipo beyond mfumo wa kisiasa ndo maana any regime haiwezi kuziathiri. Sisi tumefanya Yanga na Simba kuwa matawi ya vyma vya siasa. Tushangilie leo bila kujiwekea malengo yakushangilia kesho. Tuuze utu na uwezo wetu kwa watu wasiothamini maumivu yetu pale wanaposhiba.

Nimtazamo binafsi na siyo lazima iwe kweli Wala isiwe kweli.
Ulicho andika kinadharia ni saahihi ...lakini practically Manara na Vunja Bei ,imekuwaje ukawaweka kapu moja!¿
 
Back
Top Bottom