Njia za wanawake kumtongoza mwanaume

Njia za wanawake kumtongoza mwanaume

mzee wa kasumba

JF-Expert Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
1,440
Reaction score
2,963
Mapenzi bwana...

Kumbe sio sisi wanaume tu huvutiwa na wanawake, Bali sometime hata wanawake huvutiwa na wanaume. Ingawa Mara nyingi inakuwa ngumu kusema live.

Hupenda kutongoza kwa HILA/VITIMBI tofauti tofauti.

Wakati nipo maeneo flani. Alikuwepo mwanamke flani hivi makamo yangu. Kumbe yule dada alitokea kunielewa Sana kimapenzi. Sasa alishindwa kuniambia moja kwa moja

Akawa Kila siku asubuhi anakuja na kujifanya simu yake ni mbovu nimrekebishie, Mara analeta simu nimchajie, Mara akiona kimya ataleta simu na vocha nimuungie kifurushi. Mara hivi Mara vile

Duh. Kumbe lengo lake alikuwa anataka namba yangu muda mreefu. Mpaka nakuja kugundua lengo lake keshaumia Sana.

Lakini mwisho wa siku alipata alichokitafuta kwa muda mrefu.

Hebu tupeane uzoefu juu ya hili. Ni mbinu gani wanatumia /mnatumia wanawake unapomzimia mwanaume?


(Matokeo nimepata division 0)


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilikuwa nchi flani Ina wanawake makauzu..nilimpata manzi aliyenizoea ghafla. Kisa kuongea kwangu Kiswahili, ikaenda tukajikuta tupo ktk mahusiano..lakini mi binafsi Nilikuwa mguu nje mguu ndani kutokana na nilikuwa na malengo yangu huko ktk nchi yao, sasa nilikuja kushangaa siku moja aliponiambia anampenda brother kisa anaongea kiarabu, nilichoka ikabidi nimuelewe tu hakuna namna nikamwelekeza brother nae akamtafuna siku ile ile..yule demu akaniunganisha kwa sister ake nami nikatafuna siku hiyo..akasema sasa fresh na uhusiano uishe mi naelekea kuolewa na jamaa yangu wa muda mrefu...hivi kaolewa na wako vizuri tu na shemeji yetu.mengine ya huko ndani mi cjui....ila wanawake wanaotoka katika familia za kitajiri wana mapenzi ya ajabu ajabu sana.
 
!
!
Yaani Akinisalimia Tu Najua Ohoooo Sicheleweshi Najaribu Habati Yangu Fasta. Nikipaisha Sawa Nikipata Sawa. Wengi Baadae Inageuka Kuwa Utani Wakati Mimi Nilikuwa Siriaz.
 
Mimi nilishawahi kutongozwa mara zaidi ya kumi..

shule ya msingi nilitunukiwaga sana ila nilikuwa naogopa

Sekondari mara 5 ma zaidi

Advance nilikuwa uboizini aise

JKT mara 4

Chuo mara 3 na nikatunukiwa mizigo yenye idadi nzuri

Tatizo ni kwamba wanawake walionitongoza aise sijaqah kudumu nao sana na ilitokea kuwa despise na pia nilijiona nina kiburi kumbe sikuwa hivyo....Mpka ss e of them said they are regretting not to married by me.
 
Mimi nilishawahi kutongozwa mara zaidi ya kumi..

shule ya msingi nilitunukiwaga sana ila nilikuwa naogopa

Sekondari mara 5 ma zaidi

Advance nilikuwa uboizini aise

JKT mara 4

Chuo mara 3 na nikatunukiwa mizigo yenye idadi nzuri

Tatizo ni kwamba wanawake walionitongoza aise sijaqah kudumu nao sana na ilitokea kuwa despise na pia nilijiona nina kiburi kumbe sikuwa hivyo....Mpka ss e of them said they are regretting not to married by me.
Pia Ni ngumu kutongozwa na mwanamke unayempenda. Sijui kwa wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka nilikuwa nchi flani Ina wanawake makauzu..nilimpata manzi aliyenizoea ghafla. Kisa kuongea kwangu Kiswahili, ikaenda tukajikuta tupo ktk mahusiano..lakini mi binafsi Nilikuwa mguu nje mguu ndani kutokana na nilikuwa na malengo yangu huko ktk nchi yao, sasa nilikuja kushangaa siku moja aliponiambia anampenda brother kisa anaongea kiarabu, nilichoka ikabidi nimuelewe tu hakuna namna nikamwelekeza brother nae akamtafuna siku ile ile..yule demu akaniunganisha kwa sister ake nami nikatafuna siku hiyo..akasema sasa fresh na uhusiano uishe mi naelekea kuolewa na jamaa yangu wa muda mrefu...hivi kaolewa na wako vizuri tu na shemeji yetu.mengine ya huko ndani mi cjui....ila wanawake wanaotoka katika familia za kitajiri wana mapenzi ya ajabu ajabu sana.
Ushachukuliwa nyota na Waarabu,au pengine wana shida ya watoto..vipi nyie weupe au weusi sana..
 
Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi bandalini nilikuwa nashughulika na chakula nilikuwa kitengo cha upakuaji, sasa kaka fulan hv anafanya kazi hapo bandalini yaan huyo kaka ni mzuri, mrefu tu wakutosha, halafu ana mwili fulani hv sio mwembamba wala mnene yaan mwili fulani wenye mvuto yaan hata wanaume wenzie wanamkubali halafu alikuwa na muonekano fulani hv yaan mpole, mstaarabu na alikuwa mtu poa hana malingo ndio nilizidi kumpenda, yy ni kama staff akija pale kuchukua chakula hana haja yakuletewa huwa anakuja jikoni kuchukua, bhasi wee! Nilikiwa nampendeleaje! Alikuwa mpenzi wa maharage yy hataki mchuzi mtilie tu nyama kavu iwe ya kuku, ng'ombe ama samaki nilikuwa nampendelea sana. Sasa kuna siku mfanyakazi mwenzangu akampimia mm nilikuwa na shughuli fulani hivi sikupata muda wa kumpia yaan nilichelewa kidogo ila nilikuwa nafanya ile shughuli ima nimpimie mwenzangu akaniwahi nilimaindi nikaanza kufoka nani kakutuma umpimie mteja wangu kwani hiki tengo chako, wafanyakazi wenzangu wakaguna wakasema unampenda huna lolote


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi c mweupe wala mweusi ila brother pia hakuoa yeye, sasa hiyo nyota wanaipeleka wapi? Hahaaah huyo aliyechukua nyota yangu kudadadeki atakuwa anajuta na pengine ananitafuta anirudishie huko aliko..pasua kichwa hasa.
Hahaha nakutania tu! Ila sijui kama ushaoa, ila kuwa makini na Mademu asilimia kubwa wenye mvuto ndio wepesi pia kuachia..
 
Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi bandalini nilikuwa nashughulika na chakula nilikuwa kitengo cha upakuaji, sasa kaka fulan hv anafanya kazi hapo bandalini yaan huyo kaka ni mzuri, mrefu tu wakutosha, halafu ana mwili fulani hv sio mwembamba wala mnene yaan mwili fulani wenye mvuto yaan hata wanaume wenzie wanamkubali halafu alikuwa na muonekano fulani hv yaan mpole, mstaarabu na alikuwa mtu poa hana malingo ndio nilizidi kumpenda, yy ni kama staff akija pale kuchukua chakula hana haja yakuletewa huwa anakuja jikoni kuchukua, bhasi wee! Nilikiwa nampendeleaje! Alikuwa mpenzi wa maharage yy hataki mchuzi mtilie tu nyama kavu iwe ya kuku, ng'ombe ama samaki nilikuwa nampendelea sana. Sasa kuna siku mfanyakazi mwenzangu akampimia mm nilikuwa na shughuli fulani hivi sikupata muda wa kumpia yaan nilichelewa kidogo ila nilikuwa nafanya ile shughuli ima nimpimie mwenzangu akaniwahi nilimaindi nikaanza kufoka nani kakutuma umpimie mteja wangu kwani hiki tengo chako, wafanyakazi wenzangu wakaguna wakasema unampenda huna lolote


Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaa pole sana. Naona ulishindwa kuzuia hisia zako
 
Hahaha nakutania tu! Ila sijui kama ushaoa, ila kuwa lakini na Mademu asilimia kubwa kwenye mvuto ndio wepesi pia kuachia..
Ni kweli usemalo ndugu, yaani kama cc tunavyowinda totoz kali, totoz nazo zipo target kubaki na copy
 
Hao sasa mbona wanazunguka sanaa.

Cha kwanza when you see what captivates your interest and makes your heart race.... establish eye contact. Firm eye contact. And not once.

Once ataona ni bahati mbaya macho yalikutana tu. If he looks away and happens to look at you again, look at him straight in the eyes, give a tiny little smile.... blush flutter your eyes and look away.

Aaaaagh kama hajasoma tu mara ya pili huyo ni bogus. Or gay. Msonye and Look elsewhere.

Zingatio: Sasa bwana hakikisha he is looking at you, not looking past you. Aibu sana he waves unadhani he is waving at you ukija kuangalia nyuma there is someone else.😁😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom