Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,116
- 6,827
Mapenzi bwana...
Kumbe sio sisi wanaume tu huvutiwa na wanawake, Bali sometime hata wanawake huvutiwa na wanaume. Ingawa Mara nyingi inakuwa ngumu kusema live.
Hupenda kutongoza kwa HILA/VITIMBI tofauti tofauti.
Wakati nipo maeneo flani. Alikuwepo mwanamke flani hivi makamo yangu. Kumbe yule dada alitokea kunielewa Sana kimapenzi. Sasa alishindwa kuniambia moja kwa moja
Akawa Kila siku asubuhi anakuja na kujifanya simu yake ni mbovu nimrekebishie, Mara analeta simu nimchajie, Mara akiona kimya ataleta simu na vocha nimuungie kifurushi. Mara hivi Mara vile
Duh. Kumbe lengo lake alikuwa anataka namba yangu mda mreefu. Mpaka nakuja kugundua lengo lake keshaumia Sana.
Lakini mwisho wa siku alipata alichokitafuta kwa muda mrefu.
Hebu tupeane uzoefu juu ya hili. Ni mbinu gani wanatumia /mnatumia wanawake unapomzimia mwanaume?
(Matokeo nimepata division 0)
Sent using Jamii Forums mobile app



me acha nipite tu, kumbe hii in mada ya wanawakeSent using Jamii Forums mobile app
..nikajisemea subir nione..siku moja asubuh, ilikuwa J.mosi ya usafi mwisho wa mwezi, kwa wakaz wa Dar, wanaelewa huo utaratibu. Akaniita nimsaidie kufungua geti mkono unamuuma nikamuuliza umefanyaje... ananiambia Jana usiku mumewake alimshushia kipigo..anaumwa kila mahali, nikahamaki
...baada ya kumaliza kufungua ananiambia ingia ndani Kuna kitu nataka nikuoneshe uone jinsi ninavyoteseka, kwa sababu muda wa kufungua saa 4 ulikuwa hujafika...tulifungua geti nusu, mzee Mzima nikazama ndani nikiwa na maswali Kama milioni....Lahaula, bila aibu yule mama ananifunulia uch* wake nione alama za mikanda kwenye mapaja...aisee
mwanaume hali ikabadilika hp hp, yule mwanamama bila hiyana akanituku, nilitumia Kinga maana mule ndani zilikuwepo. Siwez sahau iyo siku...tokea hapo nikawa najilia ntakavyo. Ingawaje kwa sasa nishampotezea na pale nilipokuwa nakaa nilihama kitambo. Hawa wanawake hawa
