Noel Ngiama Makanda
JF-Expert Member
- Oct 14, 2018
- 1,782
- 3,107
Mimi kuna mmoja huyo aliniwekaga kwenye radar yake, mwanzo nikawa namkwepa, kuna siku kaniambia ana shida anataka kuongea na mimi kwangu, nikamwambia poa poa karibu.
Kufika hana hata cha shida, na Mimi nilikuwa nimeshatupia vyombo, nikamlamba. Baadae akanielezea mwenyewe how she felt about me. Akawa *** mate tu, baadae nikamkikimbia. Hadi Leo huwa ananitafuta na sina taimu naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kufika hana hata cha shida, na Mimi nilikuwa nimeshatupia vyombo, nikamlamba. Baadae akanielezea mwenyewe how she felt about me. Akawa *** mate tu, baadae nikamkikimbia. Hadi Leo huwa ananitafuta na sina taimu naye.
Sent using Jamii Forums mobile app
..nikajisemea subir nione..siku moja asubuh, ilikuwa J.mosi ya usafi mwisho wa mwezi, kwa wakaz wa Dar, wanaelewa huo utaratibu. Akaniita nimsaidie kufungua geti mkono unamuuma nikamuuliza umefanyaje... ananiambia Jana usiku mumewake alimshushia kipigo..anaumwa kila mahali, nikahamaki
...baada ya kumaliza kufungua ananiambia ingia ndani Kuna kitu nataka nikuoneshe uone jinsi ninavyoteseka, kwa sababu muda wa kufungua saa 4 ulikuwa hujafika...tulifungua geti nusu, mzee Mzima nikazama ndani nikiwa na maswali Kama milioni....Lahaula, bila aibu yule mama ananifunulia uch* wake nione alama za mikanda kwenye mapaja...aisee
mwanaume hali ikabadilika hp hp, yule mwanamama bila hiyana akanituku, nilitumia Kinga maana mule ndani zilikuwepo. Siwez sahau iyo siku...tokea hapo nikawa najilia ntakavyo. Ingawaje kwa sasa nishampotezea na pale nilipokuwa nakaa nilihama kitambo. Hawa wanawake hawa
