Njia za wanawake kumtongoza mwanaume

Njia za wanawake kumtongoza mwanaume

Kwa maisha ya sahivi ukiona mdada anaejielewa na yuko good financial na anakua wakwanza kukutafuta (texting) ujue kashakuelewaa changamkia fursa brother.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kipindi nilikuwa nafanya kazi bandalini nilikuwa nashughulika na chakula nilikuwa kitengo cha upakuaji, sasa kaka fulan hv anafanya kazi hapo bandalini yaan huyo kaka ni mzuri, mrefu tu wakutosha, halafu ana mwili fulani hv sio mwembamba wala mnene yaan mwili fulani wenye mvuto yaan hata wanaume wenzie wanamkubali halafu alikuwa na muonekano fulani hv yaan mpole, mstaarabu na alikuwa mtu poa hana malingo ndio nilizidi kumpenda, yy ni kama staff akija pale kuchukua chakula hana haja yakuletewa huwa anakuja jikoni kuchukua, bhasi wee! Nilikiwa nampendeleaje! Alikuwa mpenzi wa maharage yy hataki mchuzi mtilie tu nyama kavu iwe ya kuku, ng'ombe ama samaki nilikuwa nampendelea sana. Sasa kuna siku mfanyakazi mwenzangu akampimia mm nilikuwa na shughuli fulani hivi sikupata muda wa kumpia yaan nilichelewa kidogo ila nilikuwa nafanya ile shughuli ima nimpimie mwenzangu akaniwahi nilimaindi nikaanza kufoka nani kakutuma umpimie mteja wangu kwani hiki tengo chako, wafanyakazi wenzangu wakaguna wakasema unampenda huna lolote


Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo kaka hakugundua mwishowe?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno yafuatayo hutumiwa na wanawake kutongoza wanaume.
Za kunisusa?
Athante
Niaje bro, nimeona nikupe hai tu.
Mbona jana sijakuna kazini?
We mpole
Nisindikize town
Karibu kwetu
Nimeongezea maneno mengine... Wadada bhana 😉😉
 
Sina uhakika...maana hata Hy michirizi nilio ikuta Ni wekundu tu wa kawaida kwa mtu mweupe hata akijikuna inaweza kutokea...nahisi ile ilikuwa Ni gear ya kutimiza adhma yake

Sent using Jamii Forums mobile app
duuuuuuuuuh,,kumbe ni mweupe???ulifaidi sana,,,sasa kwa nini ulimpotezea mkuu
 
Hao sasa mbona wanazunguka sanaa.

Cha kwanza when you see what captivates your interest and makes your heart race.... establish eye contact. Firm eye contact. And not once.

Once ataona ni bahati mbaya macho yalikutana tu. If he looks away and happens to look at you again, look at him straight in the eyes, give a tiny little smile.... blush flutter your eyes and look away.

Aaaaagh kama hajasoma tu mara ya pili huyo ni bogus. Or gay. Msonye and Look elsewhere.

Zingatio: Sasa bwana hakikisha he is looking at you, not looking past you. Aibu sana he waves unadhani he is waving at you ukija kuangalia nyuma there is someone else.😁😁😁😁😁😁😁
Hii nadhani haita apply kwa strangers.. at least kama huwa mna kawaida ya kuonana mara kwa mara.. ama ile ya mmezoea kukutana kwenye lift.. hivi hivi hata mwanaume anaweza kushindwa ku react kwa namna ulivotarajia
 
Hii nadhani haita apply kwa strangers.. at least kama huwa mna kawaida ya kuonana mara kwa mara.. ama ile ya mmezoea kukutana kwenye lift.. hivi hivi hata mwanaume anaweza kushindwa ku react kwa namna ulivotarajia
Wait nitajaribu practically.😀😀
 
Back
Top Bottom