Njia za uzazi wa mpango

Njia za uzazi wa mpango

Njia mbadala hizi hapa km hutaki sindano,kijiti,
1. IUCD ya copper (Copper T)
- Haina homoni.
- Inawekwa kwenye mfuko wa uzazi na huzuia mimba hadi miaka 10.
- Baadhi hupata hedhi nzito mwanzoni, lakini ni salama kwa wengi.

2. Diaphragm au cervical cap
- Inawekwa ukeni kabla ya tendo la ndoa.
- Huzuia mbegu kuingia kwenye mji wa mimba.
- Haitumiki sana Tanzania lakini ipo.

3. kondomu za kike (female condoms)
- Hutoa ulinzi kama kondomu za kiume.
- Pia huzuia maambukizi.

Njia sahihi inategemea afya, mahitaji, na maisha yako Kwa ujumla wewe na mwenza wako!
Mh! Hizo sijawahi kuzisikia kabisa
 
Sasa enzi za bibi ako unakuta bibi na chumba chake babu ana chake (uliza watu wazima) na wapo wote make hapo miti ya manati.

Sie wa sasa asubuhi mchana jioni imo....tutafananaje sasa
Asijisahaulishe pia bibi yake alikuwa na wake wenzie km 7

Kingine kuna ambao wakinyonyesha hapati hedhi mpaka akiachisha hao ndo walikuwa wananyonyesha mtoto mpk miaka 3

Wakitoa mifano ya bibi zao sie tutawatolea ya babu zao
 
Njia mbadala hizi hapa km hutaki sindano,kijiti,
1. IUCD ya copper (Copper T)
- Haina homoni.
- Inawekwa kwenye mfuko wa uzazi na huzuia mimba hadi miaka 10.
- Baadhi hupata hedhi nzito mwanzoni, lakini ni salama kwa wengi.

2. Diaphragm au cervical cap
- Inawekwa ukeni kabla ya tendo la ndoa.
- Huzuia mbegu kuingia kwenye mji wa mimba.
- Haitumiki sana Tanzania lakini ipo.

3. kondomu za kike (female condoms)
- Hutoa ulinzi kama kondomu za kiume.
- Pia huzuia maambukizi.

Njia sahihi inategemea afya, mahitaji, na maisha yako Kwa ujumla wewe na mwenza wako!
Hiyo ya kwanza ni kitanzi, kinaongeza nyege vibaya mno, shida yake magonjwa nje nje
 
Demu wangu aliwahi kuchoma sindano ya miaka miwili aisee nilisota maana kwa mwezi naweza nikawa nyapu mara tatu au ukapita hola kabisa , hatukufika mbali tulibwagana
Mkuu demu wako au Single Mother?
 
Back
Top Bottom