Kama una hasira,kaoge maji ya baridiiii na hakikisha unatumia si chini ya dakika 10 ukimiminikiwa na maji!
1.kunywa maji mengi walau lita3
2.kaa mbali naaliye kuuzi walau mita 300
3.kula chakula unachokipenda
4.imba nyimbo za upendo
5.kunywa juice ya Pili pili na limao walau glass 3
NENDA REHAB kama una hasira.
Utakapo kunya fundo moja la juice utapata utulivu
Mimi huwa nazimalizia kwenye Papuchi
Njia kubwa ya kupunguza hasira ni kuoga maji baridi.....ikifuatiwa na Kunywa maji mengi.... ni kweli.....Mtume Muhammad (s.a.w) amesema hasira zinatokana na Shetani ambae ameumbwa kwa moto..kwa io uzimeni moto huo kwa kutumia Maji....
Ila hasira mbaya sana, hakika ni kukaa mbali sana na mtu mliyetibuana ili tu usije ukaleta mengine. Nilishuhudia kijana mmoja alipandwa na hasira akawa anatetemeka mwili mzima kuanzia kichwa midomo, yaani kila kiungo. Aisee waliokuwepo walikimbia!!! Mwishowe alidondoka chini na kukaa pale kama nusu saa akaamka na kukaa chini!!! Sikuwahi kuziona hizo.
Jaribu
Hasira zangu napunguza kwa kulia[/QUOTE
Kulia kunaweza kusababisha kupata homa jaribu njia nyingine
Mbaya zaidi machozi yanatoka yenyewe,