Njia za kupunguza hasira

Njia za kupunguza hasira

imagine umeingia ofisi fulani, umeenda mapokezi ili kupata info flani, ila huyo ambaye yuko hapo hakusaidii kabisa kibaya zaidi lugha yake inakera, mnazungumza wawili ila anapayuka kila mtu anasikia. MUNGU ananisaidia tu na hawa watu wa aina hii, natamani kuwazinguaga ila nashukuru nimeacha siku hizi.
Ndg kukaa kimya ni njia ya kuepusha Shari na kupuza kunapunguza hasira
 
mfano, MAREKANI ina hasira sana na IRAN juu ya suala la nyuklia na matumizi ya mabavu kwa raia wake,

je, unashauri nini hapo?

Waamerika wanatakiwa kujifanya awaoni kinacho endelea
 
zp hzo njia maana hzo kwangu hazinisaimiag
 
lakini wale si wanalinda intresti zao ulimwenguni ndugu?

so wakijifanya vipofu itakuwaje?

Wanachotakiwa wapunguze hasira ili watatue mizozo sio kwa jaziba ila kwa utulivu
 
mi Zangu mpaka nilale usingizi mzito..no other way
 
1.kunywa maji mengi walau lita3
2.kaa mbali naaliye kuuzi walau mita 300
3.kula chakula unachokipenda
4.imba nyimbo za upendo
5.kunywa juice ya PILI na limao walau glass 3
Mi zangu huwa zinakuja haraka mno, sipati muda hata wa kupractise hizo njia uzomensheni.
Kuna formula nilipewa na ndugu ya ku count to ten. Hii ndio hunisaidia. Asee ukinipandisha hasira kabla sijachukua attention yoyote huwa na hesabu kimoyomoyo mpaka kumi hivo naweza kontrol hata kureply. Wadau tumieni hii inasaidi sana
 
Mihasira yangu ni ya tofauti sana

Ikoje hiyo MankaM ambayo haitatuliwi na mojawapo wa njia hizo zilizotajwa hapo juu na mdau wetu, ama wewe ili hasira ziishe lazima kuwa karibu sana if possible zero distance na aliyekuuzi nk. Ebu funguka kidogo tukusome
 
Last edited by a moderator:
Mi zangu huwa zinakuja haraka mno, sipati muda hata wa kupractise hizo njia uzomensheni.
Kuna formula nilipewa na ndugu ya ku count to ten. Hii ndio hunisaidia. Asee ukinipandisha hasira kabla sijachukua attention yoyote huwa na hesabu kimoyomoyo mpaka kumi hivo naweza kontrol hata kureply. Wadau tumieni hii inasaidi sana

Nitajaribu hii huwa nina hasira za ajabu sana huwa siwazi mara mbili juu ya nitakachokifanya ninaposhikwa na hasira halafu unaweza kuta uko mbali na maji.
 
Njia kubwa ya kupunguza hasira ni kuoga maji baridi.....ikifuatiwa na Kunywa maji mengi.... ni kweli.....Mtume Muhammad (s.a.w) amesema hasira zinatokana na Shetani ambae ameumbwa kwa moto..kwa io uzimeni moto huo kwa kutumia Maji....
 
Njia kubwa ya kupunguza hasira ni kuoga maji baridi.....ikifuatiwa na Kunywa maji mengi.... ni kweli.....Mtume Muhammad (s.a.w) amesema hasira zinatokana na Shetani ambae ameumbwa kwa moto..kwa io uzimeni moto huo kwa kutumia Maji....

Good idea
 
1.kunywa maji mengi walau lita3
2.kaa mbali naaliye kuuzi walau mita 300
3.kula chakula unachokipenda
4.imba nyimbo za upendo
5.kunywa juice ya Pili pili na limao walau glass 3



Hapo kwenye bold......mmmh!
 
Inategemeana na aina ya tukio lilikutia hasira

Mita mia tatu naweza mrukia ndoo la ajabu, labda munkari iwe imeshuka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom