Njia ya kumtongoza mwanamke akakupenda daima

Njia ya kumtongoza mwanamke akakupenda daima

Apo ndo uwaga mnanichekesha kabsa wanaume kwan ukigongewa kinapungua nini?unakuta tu vile vile jaman,kweli wanaume ni selfish in nature
We bwana ako ukisikia anachepuka unareact vipi??
 
Maadamu atarudi nyumbani aendelee tu kwakweli maana kuna mambo mengine ni kijitafutia stress tu kwakwel
We mke mzuri sana..Mme wako inabidi ajivunie kuwa na ww
 
Wasiwasi ulitakiwa uwepo kabla ya mimba, ila now ni kazi bure, nijikute tu mwanangu akilelewa na dta wako, atakuwa na mdomo kama chuchunge!

Hahahaha ushindwee, binti mtulivu kama mimi teinaa
Ungezaliwa na huyu sijui ungekuwaje..Mana hii tabia yake upo kwenye DNA
Mmh Mmh ningekuwa na akili kama zake pia, za darasani tu hahahha
 
Back
Top Bottom