Tasbeeh313
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 1,919
- 2,056
Watuambie wenyewe ,tufanyaje ili wanase kirahisii
Pesa tuuu
Pesa tuuu
Pesa tuuu
Pesa tuuu
Hahahaha brenda 18Nimeshaku-pm no ya mpesa,niwekee tu hizo hela ipo siku ntakupenda....
Nilikosea digit moja nimesharekebisha,tuma tuma nianze kukupenda....tehHahahaha brenda 18
Nakutumia hapa inaonekana namba yako is not valid
Kabisa yaani na mitandao ya kijamii imeturahishia kiulainiii papuchi inalika.Siku hizi hakuna kutongozana ni mnazoeana tu hadi mnajikuta mshakua wapenzi bila nguvu nyingi
Hahaha nimeshatuma umeipata?Nilikosea digit moja nimesharekebisha,tuma tuma nianze kukupenda....teh
Yaan huu ndo ukweli ulio uchi..yan kama mimi nimeteseka sana na mapenzi wakati sina kitu...saiz wao ndo wanapanga msururu wengine wanarudi wanalia...Utaongea mengi ila boss ni Pesa
Siku hizi hakuna kutongozana ni mnazoeana tu hadi mnajikuta mshakua wapenzi bila nguvu nyingi
Nilidhani haya matatizo yananikutaga mimi pekee!!!Mara ya mwisho mimi nilitongoza 2003... Kuanzia hapo uwa najikuta tu niko na binti kama tulivyozaliwa bila hata kujua imetokeaje.
ha ha ha ha haaaNilidhani haya matatizo yananikutaga mimi pekee!!!