Njia ya kumtongoza mwanamke akakupenda daima

Njia ya kumtongoza mwanamke akakupenda daima

Yani hizi swaga kama hizo mwisho ulikuwa mwaka 2000 asaivi kama huna hela imekula kwako

Kwamfano kuna dada namtongoza mm
Esms zangu hanijibu wala sm zangu hapokei juzi nikamuambia

Nakutakia maisha mema samahani kwa usumbufu

Alicho nijibu
Kabwe mm nina steres nina shida ya milioni 5

Nkamuambia duh toka nzaliwe mwenyewe sijawahi kuishika hiyo hela mm
Hahahah, akasemaje?
 
Well written,kuna mpaka apps kwa ajili ya ss madomo zege,the key is pracitising alot until you perfect your skills
 
Mara ya mwisho mimi nilitongoza 2003... Kuanzia hapo uwa najikuta tu niko na binti kama tulivyozaliwa bila hata kujua imetokeaje.
Bila shaka hilo ni pepo
 
Uko sawa mkuu ila c kwa kizazi hiki cha nyoka yaani fanya yote ila mkwanja uwe frontline kabisa
 
Japo maisha siyo kutesa kila siku, ila pesa ndiyo kila kitu.
 
Back
Top Bottom