Njia rahisi ya kuthaminiwa na kupata cheo ndani ya cha cha CCM serikali

Njia rahisi ya kuthaminiwa na kupata cheo ndani ya cha cha CCM serikali

Kuboma

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2025
Posts
1,466
Reaction score
2,579
Kama wewe uko ndani ya CCM na unategemea kupata vyeo au kuwa mkubwa huko mbeleni eti kwa kuwasifia Viongozi wako na kuwatukana Viongozi wa upinzani,basi sahau,maana utakuwa kama Lucas Mwamshamba,
Njia rahisi wewe nenda upinzani,hasa Chama Cha Chadema,vumilia kule hata miaka mitano halafu anzisha zogo na viongozi wako wa chadema,halafu vua gwanda hamia CCM,yaani vyeo huruma upendo na kuthaminiwa vitakutafuta,si mnamuona huyu aliyejipaga jinsi anavyo hudumiwa na kupewa upendo
 
Naomba isomeke ndani ya chama cha CCM, mods nisaidieni kurekebisha
 
Lucas Mwashambwa kesho atatangaza rasmi kuunga mkono No reform no Election.

Labda CCM watamuona akiwa nje ya CCM. Maana kajitoa sana kwa machozi ya furaha na huzuni lakini kama hawamuoni.
 
Hujakosea, namuona hata Msigwa yuko kwenye njia hiyohiyo. Baada ya uchaguzi atapata uteuzi, kama watangulizi wake
 
Kama wewe uko ndani ya CCM na unategemea kupata vyeo au kuwa mkubwa huko mbeleni eti kwa kuwasifia Viongozi wako na kuwatukana Viongozi wa upinzani,basi sahau,maana utakuwa kama Lucas Mwamshamba,
Njia rahisi wewe nenda upinzani,hasa Chama Cha Chadema,vumilia kule hata miaka mitano halafu anzisha zogo na viongozi wako wa chadema,halafu vua gwanda hamia CCM,yaani vyeo huruma upendo na kuthaminiwa vitakutafuta,si mnamuona huyu aliyejipaga jinsi anavyo hudumiwa na kupewa upendo
Hiyo ni njia moja, lakini kuna zaidi ya hiyo
 
Back
Top Bottom