Njia rahisi ya kufika nchi yoyote Duniani

Njia rahisi ya kufika nchi yoyote Duniani

mkuu nimeicheki sasa ukitaka uanze kuwasiliana na wao inakuaje? ni mpaka ulipie kwanza?? nielekeze mkuu
 
Hii ndio njia nyepesi sana ya kuja Ulaya au nje ya Africa lakini kwa vile watanganyika wamesha zoea njia za kujificha na kukimbia kimbia na wamezoea kutapeliwa lakini njia hii ya Dumelang ndio njia nyepesi sana kwa mwenye malengo na ufahamu mzuri ambae hataki akiona gari la LDPD au NYPD anajificha
 
Couchsurfing.com

hii hapa pia iko sawa sana kuconect na watu especially wenye interest ya kusafiri duniani kote na kuwa hosted na local person at any country.

Enjoy!
Inatoa wepesi wakukaa nchi yeyote bila wasiwasi ukiwa na wenyeji, kwa mfano ukae mwaka naimani unakiwa nawe ni mwenyeji haswa na unakuwa ushapata michongo
 
Jiongeze, Waulize wahusika.
Jisajili kwenye hiyo website. Kuna kujisajili kama host au kujisajili kama volunteer, naimani wewe wataka kuwa volunteer. Utatakiwa kulipa ada ya mwaka kama dola 26, hii ni kama elfu 60 hv. Naimani ni ndogo sana na unaiweza maana huduma hii ni uhakika sio longolongo.

Baada ya hapo sasa pitia tu post za host kutoka nchi mbalimbali. Atakae kuvutia wasiliana nae.

Kubalianeni kila kitu, kisha nenda zako
 
imenivutia nahisi mzuka wangu wa kwenda nje unaamka tena
Tafta nauli tu, na passport
Anzia nchi ambazo sisi Tanzania visa ni free, au visa on arrival

Safi. Niliona kwa mfano kazi ya kujitolea kufanya kazi kwenye hostel miaka miwili sweden, ukipata hii vipi.

So jipange tu nauli hii njia ni tahsi sana
 
safi mkuu.. Umeeleza vyema sana...basi nichangieni nauli ya sweeden wakuu ili nilete mrejesho
 
Back
Top Bottom