MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,856
- 6,215
Jamani hizi pesa zitatuharibia watoto, bora tu huyo mke asiende. Sio lazima kusafiri,kama mama ana akili, hataenda hiyo safari.
What if mungu akikuchukua? So watoto watabaki na nani? You have to look the other side of the coin,, wangapi wameshinda na mama zao miaka yote na ni machangudoa na mateja?