njia panda msaada plz...

gfsonwin

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
18,274
20,673
wewe ni mume wa mke na watoto 2. unaish nje ya nchi, mkeo yupo tanzania sasa mkeo kapata safari ya kikaz kwenda nje ya nchi je utakubali aende ama utakataa? nchi anayokwenda ni tofauti na uliyoko wewe.

yeye anakwenda kikazi na wewe uko huko kikazi. wewe kazi yako ni contract ya muda mrefu yeye ni safari ya muda mfupi. nyumban watoto ni wadogo sana ambao kubaki peke yao pasi usimamizi wa mzazi ni ngumu utafanyeje?

je wewe mama ama wewe baba mtafanyaje?

je unafikiri hela mnazotafuta wewe baba na mama watoto wanazifaidi kwa stail hii ya maisha?
 
Hapana hizo hela zinawachimbia watoto kaburi
Chakufanya aende nao au aachane na trip

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
wewe ni mume wa mke na watoto 2. unaish nje ya nchi, mkeo yupo tanzania sasa mkeo kapata safari ya kikaz kwenda nje ya nchi je utakubali aende ama utakataa? nchi anayokwenda ni tofauti na uliyoko wewe.

yeye anakwenda kikazi na wewe uko huko kikazi. wewe kazi yako ni contract ya muda mrefu yeye ni safari ya muda mfupi. nyumban watoto ni wadogo sana ambao kubaki peke yao pasi usimamizi wa mzazi ni ngumu utafanyeje? ku-decline offer ya kazi ni ngumu so ntatafuta solution. kama una mtu trusted anayeweza kutunza watoto then mtumie na uwe una-communicate daily (using skype) kujua hali ya nyumbani.

je wewe mama ama wewe baba mtafanyaje? take the offer because its your career, baba amsapoti mkewe na kuonesha uko naye

je unafikiri hela mnazotafuta wewe baba na mama watoto wanazifaidi kwa stail hii ya maisha? itawasaidia maana its for them, cha muhimu ni ku-maintain communication and show them that although uko mbali nao bado unawapenda na unataka kujua wanaendeleaje? mzazi wangu alikuwa anafanya hivi alipokuwa anasafiri nje and we were happy knowing alikuwa salama na bado anatujali
is this a theory question au umepata tenda nje bibie, usitusahau wana JF :lol:. blue response
 
Je huyo mama hana ndugu wa karibu wa kuweza kukaa nao? Je safari hiyo itamuweka nje ya nchi mama huyo kwa muda gani?
kwamba awapeleke kwa ndugu? manake wa kuja kukaa nao nyumban kwake hakuna ila atakaa miez 3.
 
mke abaki atunze watoto, hela mnazotafuta ni kwaajili ya maisha mazuri ya familia.
Hela haijai, inaweza subiri
ila malezi anayostahiki mtoto leo ukimpa kesho umechelewa.
 
  • Thanks
Reactions: ral
Back
Top Bottom