KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 26,225
- 56,885
habari wana jf...?
kama tujuavyo rushwa imekuwa kero ktk bara letu la Afrika na kwengineko,sababu zake nazani ni tamaa na umaskini.
kikubwa kilichonisukuma kuandika hii mada ni kukamatwa kwa wala rushwa huku wakiwa wameisababishia serikali hasara kubwa, na hata kama wakiwakamata mharifu huishia jela huku hasara ikiwa palepale ikileta shida serikalini.
Kama wasemavyo waswahili "usipoziba ufa utajenga ukuta".
Ni heri kuzuia mianya ya ulaji rushwa kuliko kusubilia rushwa ishaliwa ndo unagutuka.
Huku kuwafunga wala rushwa ni njia nzuri kwani huleta onyo kwa wengine, lkn mharifu anakuwa tayari amesababisha hasara kubwa.
Hivyo basi binafsi ningependelea serikali izuie mianya ya upatikanaji wa rushwa nazani hapa watakuwa wanapambana na rushwa...
"Heri kinga kuliko tiba"
Wewe kama mdau unashauri ni njia gani itumike ili kupambana na rushwa..?
kama tujuavyo rushwa imekuwa kero ktk bara letu la Afrika na kwengineko,sababu zake nazani ni tamaa na umaskini.
kikubwa kilichonisukuma kuandika hii mada ni kukamatwa kwa wala rushwa huku wakiwa wameisababishia serikali hasara kubwa, na hata kama wakiwakamata mharifu huishia jela huku hasara ikiwa palepale ikileta shida serikalini.
Kama wasemavyo waswahili "usipoziba ufa utajenga ukuta".
Ni heri kuzuia mianya ya ulaji rushwa kuliko kusubilia rushwa ishaliwa ndo unagutuka.
Huku kuwafunga wala rushwa ni njia nzuri kwani huleta onyo kwa wengine, lkn mharifu anakuwa tayari amesababisha hasara kubwa.
Hivyo basi binafsi ningependelea serikali izuie mianya ya upatikanaji wa rushwa nazani hapa watakuwa wanapambana na rushwa...
"Heri kinga kuliko tiba"
Wewe kama mdau unashauri ni njia gani itumike ili kupambana na rushwa..?