Njia mpya ya kuchipu PS4 yagunduliwa !! PS4 version 12 zinaweza kuchipiwa kwa mbinu ya CD.

Njia mpya ya kuchipu PS4 yagunduliwa !! PS4 version 12 zinaweza kuchipiwa kwa mbinu ya CD.

mkata uzi

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2025
Posts
1,910
Reaction score
5,455
watu wengi wanapenda ps4 za kuchipu kuepuka gharama za games za kununua na account,

Ps4 iliyochipiwa unadownload game lako mtandaoni, unalihamisha kwenye mashine unaanza kucheza.

PS4 zenye soko kubwa ni version 9.00 kwasababu ya urahisi wake wa kuchipu, juu ya hapo watu wengi wanazikwepa au kuzinunua kwa ugeni na kuja kujutia baadae kwasababu ya lutowezekana au ugumu wa kuzichipu. na hata hio 9.00 inabidi uwe makini, ukijisahau uka connect internet bila kuzima updates unaikuta imejipandisha hadi version 12.

Watundu wamebuni mbinu mpya ya kuchipu mpaka version 12.02 kwa njia ya kutumia cd ya BLURAY

 
CCM wamewauzia mbinu kama waliyotumia kuunganisha MFUMO wao na NIDA na INEac
 
Niliachaga kucheza game generation ya PS 4 MWANZONI sijui ni UTU UZIMA AU VIPI BUT I HAD SOMETHING TO TAKE CARE MORE THAN PS BECAUSE I USED TO PLAY ALL GENERATION OF PS 1 SO HATA KESHO NAONAGA NI VITU VYA KAWAIDA SANA WAZA MAISHA ARE OLD ARE YOU?
 
Niliachaga kucheza game generation ya PS 4 MWANZONI sijui ni UTU UZIMA AU VIPI BUT I HAD SOMETHING TO TAKE CARE MORE THAN PS BECAUSE I USED TO PLAY ALL GENERATION OF PS 1 SO HATA KESHO NAONAGA NI VITU VYA KAWAIDA SANA WAZA MAISHA ARE OLD ARE YOU?
30 hapa na mimi games zilishanichoshaga mkuu, hata kwenye simu nilizowaho kudownload zinaota kutu.

Niliwahi kuwaza ninunue ps5 mwaka jana ila nikajiuliza ntacheza saa ngapi halafu hata ile raha niliyowahi kuwaga nayo imepungua sana,

Back then nilikuwaga nacheza sana, games sikuweza kuzimudu kununua nilikuwa mdau mkubwa wa games za kuchakachua both kwenye pc na ps.

Actually nimeweka post kwa faida ya active gamers.
 
Niliachaga kucheza game generation ya PS 4 MWANZONI sijui ni UTU UZIMA AU VIPI BUT I HAD SOMETHING TO TAKE CARE MORE THAN PS BECAUSE I USED TO PLAY ALL GENERATION OF PS 1 SO HATA KESHO NAONAGA NI VITU VYA KAWAIDA SANA WAZA MAISHA ARE OLD ARE YOU?
Kila mtu kuna kitu anapenda au hufanya akiwa free, siamini mko bize 24*7 ila hobby ulihamishia kwingine, mwingine muda angepita mahali akanywe pombe huenda Kwenye vijiwe, mwingine kanisani, mwingine club so gaming haina umri, huwezi waza maisha 24*365.
 
Back
Top Bottom