shikamoo babu Asprin,mie nilishakubali yote
Mie bado mdogo sitaki kufa kwa presha
Afu na wewe uache ushetwani! Moto wa akhera unakungoja. Shauriyo
Marahabaa. Nimefurahi umekua sasa. Safi sana.
Asante mpondamali nimekuelewa.nishamwakia kawa mdogo,nimemnyang'anya funguo za gari
Hiyo poa,siyo una acha dots za kuwa traced easily, alikuja home late like saa 7,huwa sipendi shika cmu yake make sitaki pressure za bure,kutokana na mida alokuja ikabidi nistuke,ni hinge mzigo wangu,kucheki cmu naona call tangu saa 1 waliwasiliana,mara 3 wakawa wote I ucku ucku wa saa 7 wakapigian kucheki kama amefika,jina limeseviwa,nikalitracy tigo pesa,nikaingia whatsapp na face book ni kapata picha na information zake, ni kapata full information,nikamuonyesha mume mchepuko picha na kila kitu kuhusu huyo concubine,akashikwa na butwaa,si unajua inavokuwa eeh,!zaidi ya hapa intake ushahidi gani.
Hey! Blue G!
Take it easy! I think ulinifasiri vibaya! Sikuhalalisha michepuko kwa me! Na hata hayo mamlaka ya kuhalalisha sina! What i have tried to tell ni main reason ya kuchepuka kwa me!
...
Nilichokiongea nahisi kimewamisslead ke wengi, nahisi kuna haja ya kuwaondelea wasiwasi kuhusu ile thired!
Nikipata mda nitafanya hivyo!
...
Uwe na siku njema Blue G!
Hongera kwa kuwa mwaminifu!Nawasalimu wanajamii wenzangu,huu usemi ni wa kweli kabisa"Njia kuu yako ni mchepuko wa mwenzio"mwenzenu pasaka haitokuwa nzuri kwangu,nimegundua usaliti unaofanywa na mume wangu,imagine nimedumu njia kuu tangu tufunge ndoa like eleven years ago,nilimuamini saaaana,ni naamini ktk njia kuu,japo sasa nimekata tamaa,yaani maumivu bado nayasikilizia ni makali asikuambie mtu,uaminifu ktk ndoa ni jambo la msingi,unapokuwa mwaminifu ni kwamba umamkubali mwenzio kama alivyo!dah kinyume na hapo ni maumivu na uchungu usiomithilika.nimekuta ushahidi wa kutosha japo sijamfumania,na amekupa mdogo ,am confused!unaweza kujiaminisha uko njia kuu kuombe unachepukiwa na mwenzio.yaani tumbo la moto flani hivi ,kichwa chama ghafla ooh Lord have mercy on me.Pasaka njema nikumbukeni ktk maombi,make sitaweza kwenda kanisani nimejeruhiwa sana,sijui nimfanyaje.asante
Pole mpenzi ndoa zina changamoto zake,hivyo jipe moyo,asilimia kubwa ya wanaume wanapenda michepuko,Mungu atunusuru.endelea kuwa muaminfu.
Mme wa mtu sumu.....hapo tunamalizana kimjinimjini.
1. TAFUTA ACID ( sh. 50000)...mmwagie huyo mchepuko. Ni pm kama utahitaji.
2. TAfuta bastora...sh.laki moja na nusu...ikiwa na risasi..sh. 200000. Ni pm kama utahitaji.
3. Tafuta washkaji wamteke huyo mwizi wako....kisha wampigie kwa tigo mpaka ashindwe kutembea. Kwa hapa Dar sh. 400000 tu..usafiri wako.
Kwa mikoani sh. 700000. Usafiri na malazi ya siku mbili juu yako. Ni pm kama utahitaji huduma hii.
4. Chukua picha ya mchepuko peleka kwa Mganga wa jadi. Chagua..awe zombi au afe. Mi naweza kukusaidia mtaalamu wa ukweli kabisa. Kitu kinafanyika dakika 0 na majibu yanaonekana ndani ya dakika 5. Unamtumia njiwa mpaka anapoishi....unaua familia nzima...yeye, mmewe na wanawe...mpaka house gero.
5. Mme wa Mtu sumu.......chukua sumu...ongea na jamaa wa sehemu ambao anapendelea kula chakula au kunywa bia.
Daa...ni pm....mbona swala simple tu.
Pole bibie,ila mimi nikukumbushe tu kuwa hatubaki njia kuu ili kuridhisha wenzi wetu au sababu tunaamini wenzi wetu pia wapo njia kuu,bali tunabaki njia kuu sababu ni jambo la msingi kiroho na kimwili kukifanya
Mungu atakupigania,muombe Mungu ambasilishe na ajifunze kwa alichofanya