Njia kuu utata mtupu!

Njia kuu utata mtupu!

Alikuwa anatumia sana hichi kitabu sasa kasahau kinunua chapter 2 hajui kama imeshatoka nini ???
 

Attachments

  • 1397793027335.jpg
    1397793027335.jpg
    34.1 KB · Views: 212
Nawasalimu wanajamii
wenzangu,huu usemi ni wa kweli kabisa"Njia kuu yako ni mchepuko wa
mwenzio"mwenzenu pasaka haitokuwa nzuri kwangu,nimegundua usaliti
unaofanywa na mume wangu,imagine nimedumu njia kuu tangu tufunge ndoa
like eleven years ago,nilimuamini saaaana,ni naamini ktk njia kuu,japo
sasa nimekata tamaa,yaani maumivu bado nayasikilizia ni makali
asikuambie mtu,uaminifu ktk ndoa ni jambo la msingi,unapokuwa mwaminifu
ni kwamba umamkubali mwenzio kama alivyo!dah kinyume na hapo ni maumivu
na uchungu usiomithilika.nimekuta ushahidi wa kutosha japo
sijamfumania,na amekupa mdogo ,am confused!unaweza kujiaminisha uko njia
kuu kuombe unachepukiwa na mwenzio.yaani tumbo la moto flani hivi
,kichwa chama ghafla ooh Lord have mercy on me.Pasaka njema nikumbukeni
ktk maombi,make sitaweza kwenda kanisani nimejeruhiwa sana,sijui
nimfanyaje.asante

pole sana nenda kanisani stress zitapungua ,usikae nyumbani.tutakuombea
 
utakuwa hujampa ndogo tuu huyo...wenzako wamemuonjesha sasa amua moja na wewe umpe hiyo asali abaki njia kuu au umnyime aendelee kuchepuka as keshaonja asali amechonga mzinga.
 
Nawasalimu wanajamii wenzangu,huu usemi ni wa kweli kabisa"Njia kuu yako ni mchepuko wa mwenzio"mwenzenu pasaka haitokuwa nzuri kwangu,nimegundua usaliti unaofanywa na mume wangu,imagine nimedumu njia kuu tangu tufunge ndoa like eleven years ago,nilimuamini saaaana,ni naamini ktk njia kuu,japo sasa nimekata tamaa,yaani maumivu bado nayasikilizia ni makali asikuambie mtu,uaminifu ktk ndoa ni jambo la msingi,unapokuwa mwaminifu ni kwamba umamkubali mwenzio kama alivyo!dah kinyume na hapo ni maumivu na uchungu usiomithilika.nimekuta ushahidi wa kutosha japo sijamfumania,na amekupa mdogo ,am confused!unaweza kujiaminisha uko njia kuu kuombe unachepukiwa na mwenzio.yaani tumbo la moto flani hivi ,kichwa chama ghafla ooh Lord have mercy on me.Pasaka njema nikumbukeni ktk maombi,make sitaweza kwenda kanisani nimejeruhiwa sana,sijui nimfanyaje.asante

Yaani miaka 11 unajiamini kabisa mmeo hajatoka nje? mwanaume rijali kabisa? Poor you!!

Kwa taarifa yako alishaanza kuchepuka mwaka wa kwanza tu wa ndoa. ndivyo wanaume tulivyo. Sema kakosea step kidogo tu ndo ukamfumania baada ya miaka 11.

Hapa nisimkwaze mjukuu wangu mpendwa tian
 
Last edited by a moderator:
Yaani miaka 11 unajiamini kabisa mmeo hajatoka nje? mwanaume rijali kabisa? Poor you!!

Kwa taarifa yako alishaanza kuchepuka mwaka wa kwanza tu wa ndoa. ndivyo wanaume tulivyo. Sema kakosea step kidogo tu ndo ukamfumania baada ya miaka 11.

Hapa nisimkwaze mjukuu wangu mpendwa tian

Mkeo unamuamini?!
 
Last edited by a moderator:
tatizo ni kwamba mkiwa kwenye ndoa mnakuwa kama mko guantanamo bay.

ubunifu unakuwa zero, kila siku mwataka jinsi anavyokufa mende tu, hamjui kuboreshana aisee!
Hiyo ni sababu mojawapo ya msingi inayowafanya wanaume kuwa na michepuo, ujue wanawake wanakua wabunifu wa kimapenzi pindi wanapokuwa kwenye uchumba na wakisha fika kwenye ndoa yaani unaweza usiamini kile ambacho utakua unakiona eti kila siku ni kifo cha mande...badilikeni wanawake mliopo kwenye ndoa
 
Mwanaume Hana shukrani,Hana zuri,Mara ngapi wanakuwa dhaifu lakini tunawasitiri,tunachukuliana nao!inawezekana hata kutoka nje wao ndio wako poor in bed!thanx pia
 
utakuwa hujampa ndogo tuu huyo...wenzako wamemuonjesha sasa amua moja na wewe umpe hiyo asali abaki njia kuu au umnyime aendelee kuchepuka as keshaonja asali amechonga mzinga.
Mwanaume hata umpe nini haridhiki,kwa maji Huo aendelee kuchepuka
 
bora mtu aniambie anachepuka lakn co nimfumanie...ajihesabie siku tu mana sijuui nitamfanya nini.POLE SANA
 
Hiyo ni sababu mojawapo ya msingi inayowafanya wanaume kuwa na michepuo, ujue wanawake wanakua wabunifu wa kimapenzi pindi wanapokuwa kwenye uchumba na wakisha fika kwenye ndoa yaani unaweza usiamini kile ambacho utakua unakiona eti kila siku ni kifo cha mande...badilikeni wanawake mliopo kwenye ndoa
Tatizo la ubunifu ni pande zote,hata kuna baadhi ya wanaume wako zero kitandani,ukisikia ametoka nje,unamhurumia,sometimes tunakuwa waaminifu coz ni tabia yetu siyo kwamba tunaridhishwa,ni shida tu.asanteni kwa ushauri
 
Yaani askuambie mtu,hata hapa sijamfumania anajutaje sasa,
 
Yaani askuambie mtu,hata hapa sijamfumania anajutaje sasa,hastaili uaminifu wangu,ni vile tu Imani yangu kwa Mungu
 
Back
Top Bottom