Njia kuu utata mtupu!

Njia kuu utata mtupu!

Mtoa mada funguka vizuri acha kulialia...nini kimekupata hasa? manake hujamfumania live so ni kipi hasa? Hata mi nikitoka mchepuko nakufa fresh kwa waifu haezi kustuka.
 
Da pole sana! Unachopaswa kufahamu ni hiki tu na hutoumiza kichwa tena kwamba maumbile ya mwanaume hayaridhiki kuwa na mtu moja. So angalia nafasi yako kwake ukishidwa nawe chepuka. Ni hayo again pole sana

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Mtoa mada funguka vizuri acha kulialia...nini kimekupata hasa? manake hujamfumania live so ni kipi hasa? Hata mi nikitoka mchepuko nakufa fresh kwa waifu haezi kustuka.
Hiyo poa,siyo una acha dots za kuwa traced easily, alikuja home late like saa 7,huwa sipendi shika cmu yake make sitaki pressure za bure,kutokana na mida alokuja ikabidi nistuke,ni hinge mzigo wangu,kucheki cmu naona call tangu saa 1 waliwasiliana,mara 3 wakawa wote I ucku ucku wa saa 7 wakapigian kucheki kama amefika,jina limeseviwa,nikalitracy tigo pesa,nikaingia whatsapp na face book ni kapata picha na information zake, ni kapata full information,nikamuonyesha mume mchepuko picha na kila kitu kuhusu huyo concubine,akashikwa na butwaa,si unajua inavokuwa eeh,!zaidi ya hapa intake ushahidi gani.
 
Pole sana bibie inauma sana 11 yrs?
Endelea kuwa mwaminifu Mungu ypo na anaona chozi na uchungu wako.

Jitahid kumsamehe na kuvumiliana ndo zana kuu za mwanamke ndoa zina changamoto nying

Mtimizie mahitaj yake kuwa mbunifu japo sijajua una watoto wangap na mnaishi vip au kuna tatizo gani
Kama unahis tabia kaanza now angalia tatizo ni nn kama marekebisho Fanya
Jitahid kuongea nae kwa maana hawa viumbe wamatisha magonjwa ni meng siku hizi chepuko nalo lina chepuko lake..mtandao ni mkubwa.Mungu akujalie Nguvu
Amina dear.nina 2kids,wanaume ni noma sana
 
Pole bibie,ila mimi nikukumbushe tu kuwa hatubaki njia kuu ili kuridhisha wenzi wetu au sababu tunaamini wenzi wetu pia wapo njia kuu,bali tunabaki njia kuu sababu ni jambo la msingi kiroho na kimwili kukifanya

Mungu atakupigania,muombe Mungu ambasilishe na ajifunze kwa alichofanya
Price12, simamia hapa...hatutulii kisa kuwaridhisha wandani wetu, ni kwa nafsi, afya na heshima tu binafsi.

Naona una hekima pia, kulipa kisasi hakusaidii zaidi ya kuongeza machungu. Pole sana!!
 
Last edited by a moderator:
Hiyo poa,siyo una acha dots za kuwa traced easily, alikuja home late like saa 7,huwa sipendi shika cmu yake make sitaki pressure za bure,kutokana na mida alokuja ikabidi nistuke,ni hinge mzigo wangu,kucheki cmu naona call tangu saa 1 waliwasiliana,mara 3 wakawa wote I ucku ucku wa saa 7 wakapigian kucheki kama amefika,jina limeseviwa,nikalitracy tigo pesa,nikaingia whatsapp na face book ni kapata picha na information zake, ni kapata full information,nikamuonyesha mume mchepuko picha na kila kitu kuhusu huyo concubine,akashikwa na butwaa,si unajua inavokuwa eeh,!zaidi ya hapa intake ushahidi gani.

Hasa we nawe ulishika simu yake ya nini? Huku unasema sitaki kumfuatilia ili nisipate pressure! Kumbe instincts zako zinaku alert kwamba ni silka ya mwanaume kuchepuka!
Mbona Unaji contradict? Msome babu Aspirin utaelewa vizuri wanaume!
Amua kuokoka sanaaaa au na wewe kuwa shetwain kama yeye!
 
Pole sana dadaangu.

#Labda nikuulize maswali yafuatayo:-

1. Huo mchepuko tabia yake ipoje?..umetulia?..

2.Mumeo anatabia ya kutumia kondom?

3. Imekuaje mpaka ukajua mmeo anakusaliti?...is it ilifikia mpaka rafiki zako wanafahamu hilo?


4. Vipi kama ukikuta umepata maambukizi ya ukimwi ili hali ulikua hutoki nje na mumeo ndio kakuletea....utafanyaje?


Kuna wanaumme wanachepuka na wanakua makini sana kwa afya zao. Hutumia kondom na hufanya mambo kisiri sana. Waweza kusafiri let say kutoka hapa Dar mpaka morogoro na kufanya uchafu na kugeuza.


Wengine ni wale wenye dharau...hawajali....wahajiheshimu...mara nyingi wanajifanya wema sana....waaminifu...utakuta muda mwingi anawahi nyumbani....wanajiganyaga hawanywi pombe eti....au kunyea pombe nyumbani. Hawa hajali afya zao kabsaaaa......ndio wanaotembea na mahausigel...watoto wa ndugu zao....mabaa medi...wanawake wanaojiuza, watoto wa shule, wake za watu, wamama wenye mimba na hata waliona watoto. Kuwa na mwanamme kwenye kundi hili ni sawa na kuonja sumu kali ukitazamia utapona.



Ushauri wangu:


1. MUNGU ndio kila kitu. Zipo ndoa zimepitia majaribu mengi na sasa zipo nzuri sana. Mumeo anahofu na Mungu????...mmmmh lakini wa namna hiyo hawanaga hofu.....hivyo akaombewe kwanza.


2. Kama mnawatoto....tafiteni kila muwezalo muweze kumaliza swala hili. Na kama huo mchepuko upo...kaeni na wazee kwa pamoja myamalize.


3. Kama hamna watoto...hiyo ni shida kubwa sana. Huyo mwanamme hafai. Yawezwkana ni stress za kutokua na mtoto ndio maana anarisk maisha yake kwa wanawake nje. Kiufupi hiyo sio ndoa.


4. Nendeni SCOAN mkaombewe.



Nipm nikupe ushauri zaidi
 
Pole sana Price12 mama sana,halafu wao wenyewe wanajisifu kabisa eti kwa mwanaume ni necha,necha gani?kama ingekuwa necha nadhani wanawake wote waliosalitiwa na waume zao kamwe wasingeumia kwani wao pia necha ingewaambia kuwa wanaume ni necha yao kuwa na mwanamke zaidi ya mmoja na kwa hiyo wangechukulia poa tu,ila kwa kuwa sio necha ni tabia mbovu yu waliyojiwekea wanaume basi ndo maana mwanmke akisalitiwa an mume/mpenzi/mchumba wanaumia sana na hata hao wanaojisifia eti necha leo hii akikuta kidume mwenzie anaenjoy na mkewe anaumia kuliko maelezo,sasa sijui wenyewe ndo wana moyo na hisia halafu wanawake wana mawe?

pole sana mama

copy Mashaxizo.
 
Last edited by a moderator:
Mwanaume Hana shukrani,Hana zuri,Mara ngapi wanakuwa dhaifu lakini tunawasitiri,tunachukuliana nao!inawezekana hata kutoka nje wao ndio wako poor in bed!thanx pia

Kumbe kuna mengi zaidi ya kifumanizi feki. funguka mama.
 
Mmmmmmmmh! At times like these LIFE BECOMES REALLY A BITCH! 11 years aint a joke! ONLY I GOD WE TRUST BUT IN HUMANS FURTHER INVESTIGATIONS ARE MORE THAN NECESSARY!

But you are still one lucky sister looking on the bright side you enjoyed STRES FREE MARRIAGE FOR 11 YEARS! That is somethin to be proud of.

Kwa mara ya kwanza Lara1 umekula like yangu.
the best way to handle relation stress is not to look onto stress issues but bright side.
kumbe unajitoaga ufahamu tu lakini uko poa sana
 
Kuna service road kabambe kimara ila tatizo ni ina mahandaki.

hahaha pole mwaya, ila usiache kwenda kanisani labda majeraha yako yatapona. MUOMBEE MUMEO.wangu namuombea na hajawahi kuchepuka mwaka wa 15 huu.

cc Kongosho, snowhite
 
Last edited by a moderator:
Chunguza nini ambacho kinamfanya aingie give way (achepuke). Anataka kipi na hakipati kutoka kwako? Wanaume wengi huchepuka kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na uvivu wa mwanamke kwenye gemu, kiburi, mashariti mengi ukiomba mchezo, visingizio mf; "nimechoka", usafi "pengine haujijali; mf, nywele Za akinadada wengi hazioshwi" kutokuwa mbunifu kwenye pitch, kutoonesha "true love" kwa mwenza wako, n.k. Jaribu kujipima unapungua wapi? Pole sana dada yangu!
 
Kuna service road kabambe kimara ila tatizo ni ina mahandaki.

hahaha pole mwaya, ila usiache kwenda kanisani labda majeraha yako yatapona. MUOMBEE MUMEO.wangu namuombea na hajawahi kuchepuka mwaka wa 15 huu.

cc Kongosho, snowhite

Sikujua umeolewa na Yesu.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dadaangu.

#Labda nikuulize maswali yafuatayo:-

1. Huo mchepuko tabia yake ipoje?..umetulia?..

2.Mumeo anatabia ya kutumia kondom?

3. Imekuaje mpaka ukajua mmeo anakusaliti?...is it ilifikia mpaka rafiki zako wanafahamu hilo?


4. Vipi kama ukikuta umepata maambukizi ya ukimwi ili hali ulikua hutoki nje na mumeo ndio kakuletea....utafanyaje?


Kuna wanaumme wanachepuka na wanakua makini sana kwa afya zao. Hutumia kondom na hufanya mambo kisiri sana. Waweza kusafiri let say kutoka hapa Dar mpaka morogoro na kufanya uchafu na kugeuza.


Wengine ni wale wenye dharau...hawajali....wahajiheshimu...mara nyingi wanajifanya wema sana....waaminifu...utakuta muda mwingi anawahi nyumbani....wanajiganyaga hawanywi pombe eti....au kunyea pombe nyumbani. Hawa hajali afya zao kabsaaaa......ndio wanaotembea na mahausigel...watoto wa ndugu zao....mabaa medi...wanawake wanaojiuza, watoto wa shule, wake za watu, wamama wenye mimba na hata waliona watoto. Kuwa na mwanamme kwenye kundi hili ni sawa na kuonja sumu kali ukitazamia utapona.



Ushauri wangu:


1. MUNGU ndio kila kitu. Zipo ndoa zimepitia majaribu mengi na sasa zipo nzuri sana. Mumeo anahofu na Mungu????...mmmmh lakini wa namna hiyo hawanaga hofu.....hivyo akaombewe kwanza.


2. Kama mnawatoto....tafiteni kila muwezalo muweze kumaliza swala hili. Na kama huo mchepuko upo...kaeni na wazee kwa pamoja myamalize.


3. Kama hamna watoto...hiyo ni shida kubwa sana. Huyo mwanamme hafai. Yawezwkana ni stress za kutokua na mtoto ndio maana anarisk maisha yake kwa wanawake nje. Kiufupi hiyo sio ndoa.


4. Nendeni SCOAN mkaombewe.



Nipm nikupe ushauri zaidi

hilo kundi la pili ni ukweli kabisa usiopingika du! umejuaje? hao watembea na mahiusegirl na mabaamed ndio wanaojidai watakatifu wakubwa, siku ukigundua kama unaroho nyepesi utajiua maana hutaamini kulinga na tabia zao.
 
Amina dear.nina 2kids,wanaume ni noma sana

HONGERA kwakuwa una watoto wawili nao natumaini wanakupa faraja pale unapokuwa mpweke. ila dada angu nakushauri tuu kitu kimoja we funguka tuu mbelee ya huyo mumeo.sometimes sisi wanaume huwa tunaweza badilika pale tunapogundua mwanamke nilie nae ana uwezo na gutts za kuniconfront.jaribu kuwa mkali mamaaa.ukitaka kuwa na mchepuko wako si swawa na si sululisho ya matitizo ako maana unaweza ukaumia zaidi katika huo mchepuko kuliko huyo MUME wako.la mwisho fanya toba kipindi hiki,fanya tafakari kuhusu ndoa yako na imani yako ya kiroho maana tegemeo la mwisho ni Mungu baba.NIKUTAKIE PASAKA NJEMA.
 
Back
Top Bottom