Njia ipi bora ya kununua viwanja -Arusha?

Loading failed

JF-Expert Member
Joined
Sep 14, 2023
Posts
3,003
Reaction score
8,380
Ndugu zangu habari.

Kwa wazoefu naombeni mtujuze ni ipi njia bora ya kununua viwanja katika mkoa wa Arusha kati ya zifuatazo.

1: Manispaa / ofisi za ardhi

2: Kwa mtu binafsi

3: madalali au makampuni yanayojihusisha na kuuza viwanja.

Asanteni
 
Ndugu zangu habari.

Kwa wazoefu naombeni mtujuze ni ipi njia bora ya kununua viwanja katika mkoa wa Arusha kati ya zifuatazo.

1: Manispaa / ofisi za ardhi

2: Kwa mtu binafsi

3: madalali au makampuni yanayojihusisha na kuuza viwanja.

Asanteni
Zote ni nzuri kuwa mwangalifu tuu!
 
Kiwanja kipo wapi, ukubwa gani na bei gani, je kina hati miliki na kimepimwa?
NI pm na uniandikie unahitaji maeneo gani usihangaike tena umefika ukitaka binafsi sawa ukitaka kampuni sawa njia yeyoye ukihitaji kiwanja nipo. Uwe tu serious kuwa wewe ni mwihitaji.
Mf. Nahitaji kikatiti uniambie na ukubwa gani na umbali kutoka barabara kuu isizidi km ngapi au mita viwanja vimepimwa na vinahati miliki ila kwa wazawa sio wote wenye hati miliki wsna hati za vijijini tu . Na useme na bei
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…