PARADIGM
JF-Expert Member
- Sep 9, 2014
- 2,774
- 1,815
- Thread starter
- #21
Nisaidie hiyo. Hiyo ni paid for au ni for free?hacking ipo ya njia nyingi sana , tools kali kwa ajili ya hacking ni '''kali linux; unaweza hakiwa kupitia email ,WiFi, au kupitia tsaap
yaani inavyofanyika inatengenezwa link afu unatumiwa ,, kwa njia tajwa apo juu , link inaweza kuwa picha ,file,audio etc...
ukifanikisha kusave tu umekwisha , hizo ni baadhi ya hackiing ndogo na za fasta kweny ulimwengu wa hacking,,,
hizo za kilink whats app web na app sio hacking hizo,, kwanza unatakiwa ujuwe ume hackiwa kivipi ndo u solve tatzo lako,