Huo muhuri ulioandikwa "SIRI" si maandishi manne kuuchonga ni 1200/= Tzs
Muongo wewe
so what ?
Huyu naona kazi yake ni kuzuwa uongo na kufitinisha watu ndiyo kazi aliyopewa na chadema hana kingine.
Kiwanda cha uongo kazini.
Yule kijana aliyemtapeli kampa haki yake?
Muongo wewe
Chadema imeweza kujilipua itashindwa kutengeneza nyaraka fake??
Huyu Yericko Nyerere nchi hii ingekuwa yangu ningempa kazi kitengo cha TANZANIA ONE THEATRE
Kwenye red na green upo serious kabisa?"Kidumu chama cha Mapinduzi" "Zidumu kauli za mwenyekiti wa CCM" "CDM chini chini 2015"
Tumia akili yako sawasawa hivi wewe unaona hizo docs zina ushirikiano?
Huyu naona kazi yake ni kuzuwa uongo na kufitinisha watu ndiyo kazi aliyopewa na chadema hana kingine.
Kiwanda cha uongo kazini.
Yule kijana aliyemtapeli kampa haki yake?
Utafiti hupingwa kwa utafiti siyo porojo . Tupe wewe ukweli unaoujua.Muongo wewe