We rafiki yangu hivi ni lini utaacha kuota hizi '"NDOTO ZA KIMWELI au ZA LINACHA"
Story hii yaonyesha kabisa niyakutengeneza..
Jamaa hawawez kua wajinga kutumia maneno kama hyo ktk waraka..
Mifano ya nyaraka za halali za kimkakati fiatilia waraka wa Kitila...
Type mpya mkuu
Hivi unaamini huu uongo wa Yericko ambao lengo lake ni kuhakikisha baadhi ya wagombea wa chadema wana enguliwa kwa kisingizio ni mamluki?
We Yericko mpuuzi sana..huu utoto unamletea nani hapa?? Mikakati kama hiyo kamwe haiwekwi kwenye maandishi...you foolish boy
CCM imechanganyikiwa wanaweka tu kwenye maandishi,kwa kuwa mmegawanyika ndio maana siri nje nje!
Mkuu Yeriko hakikisheni hizi habari mnaongea pia na Waandishi wa habari kama counter attack. Hii issue ni vizuri ikawa open hata kwa public. Itasaidia sana mkuu. Ndio maana tunasema CCM ni chama cha wahuni, majizi na matapeli.
kwasasa ccm imegawanyika sehemu kuu mbili...
1. Ccm wazalendo (magufuli et al)
2. Ccm mafisadi (joka kengeza et al).
Chadema pia imegawanyika sehemu mbili,
1. Chadema wapiga-dili (mwenyekiti, muasisi etc)
2.chadema halisi ( dr slaa etc)..
Kazi kwako
Wameumbuja Tena.
Muongo wewe