Tetesi: Njama ovu kwenye uchaguzi mkuu 2025

Tetesi: Njama ovu kwenye uchaguzi mkuu 2025

Mbinile

Senior Member
Joined
Nov 2, 2008
Posts
112
Reaction score
166
Wanajamvi

Huku kwetu Mtaa wa Kigezi Kata ya Buyuni Maeneo ya Chanika jijini Dar es Salaam kuna fomu za kuanzisha vikundi vya Kijamii vinavyoratibiwa na baadhi ya Wana-CCM . Kwa aliyetoa maelezo anasema kuanzishwe vikundi vya kijamii ambapo kila mkaazi wa eneo hili anatakiwa kujiunga kwa kujaza fomu ambayo inataka NAMBA YA NIDA pamoja na Taarifa zote za KUVERIFY Kitambulisho cha NIDA.

Binafsi machale yamenicheza. Ninaamini kutakuwa na konection na uchaguzi ujao. Hususan kutengeneza vitambulisho vya kupiga kura
 
Wanajamvi

Huku kwetu Mtaa wa Kigezi Kata ya Buyuni Maeneo ya Chanika jijini Dar es Salaam kuna fomu za kuanzisha vikundi vya Kijamii vinavyoratibiwa na baadhi ya Wana-CCM . Kwa aliyetoa maelezo anasema kuanzishwe vikundi vya kijamii ambapo kila mkaazi wa eneo hili anatakiwa kujiunga kwa kujaza fomu ambayo inataka NAMBA YA NIDA pamoja na Taarifa zote za KUVERIFY Kitambulisho cha NIDA.

Binafsi machale yamenicheza. Ninaamini kutakuwa na konection na uchaguzi ujao. Hususan kutengeneza vitambulisho vya kupiga kura
Report police kwamba kuna dalli za kuhatarisha usalama
 
Wanajamvi

Huku kwetu Mtaa wa Kigezi Kata ya Buyuni Maeneo ya Chanika jijini Dar es Salaam kuna fomu za kuanzisha vikundi vya Kijamii vinavyoratibiwa na baadhi ya Wana-CCM . Kwa aliyetoa maelezo anasema kuanzishwe vikundi vya kijamii ambapo kila mkaazi wa eneo hili anatakiwa kujiunga kwa kujaza fomu ambayo inataka NAMBA YA NIDA pamoja na Taarifa zote za KUVERIFY Kitambulisho cha NIDA.

Binafsi machale yamenicheza. Ninaamini kutakuwa na konection na uchaguzi ujao. Hususan kutengeneza vitambulisho vya kupiga kura
Mkuu machale yamekucheza, ndo useme kwamba ni kitisho cha usalama?

Data driven ipo wapi hapo?

Leta madini mkuu, tuyapime vema
 
Back
Top Bottom