Zee Korofi
JF-Expert Member
- Oct 5, 2021
- 1,604
- 1,440
Nilijaribu juzi kukaa asubuhi mpaka jioni kwa kunywa chai tu, aisee asikuambie mtu, njaa mbaya! Umasikini mbaya mnooo! Leo nawakingia vifua wanawake, msiwalaumu jamani, tutafute pesa.
Kuna muda unapigwa mzinga mzito, unaishia kulaani kabisa na kumtukana huyo bae wako. Ila jua tu ana wazazi, wadogo zake wanasoma, anauguza wagonjwa, chakula kimekwisha n.k!
Acheni tu! Kwa maruwe ruwe yale niliyoona, acheni tu wanaume masikini SANA wasipendwe, wakifanikiwa huwa ndio wa kwanza kuwatenda waliowavumilia, hawana shukrani tena na huanza dharau na matusi.
Acheni wanawake wapende pesa!!! Tutafute pesa.
Kuna muda unapigwa mzinga mzito, unaishia kulaani kabisa na kumtukana huyo bae wako. Ila jua tu ana wazazi, wadogo zake wanasoma, anauguza wagonjwa, chakula kimekwisha n.k!
Acheni tu! Kwa maruwe ruwe yale niliyoona, acheni tu wanaume masikini SANA wasipendwe, wakifanikiwa huwa ndio wa kwanza kuwatenda waliowavumilia, hawana shukrani tena na huanza dharau na matusi.
Acheni wanawake wapende pesa!!! Tutafute pesa.