Niwachekeshe kidogo

Kwa hiyooo hiyoo helaa Angekutumiaa Uende hotel akuto.... ungeenda ausio..!???
Haa ha ha... Ogopa mwanamke mzuri alafu kichwani empty... huwa mnaliwaaa mpaka mwishooo...
Kishasema akipelekwa mombasa anaachia mzigo
 
Labda anataka uende huku kijijini Manyara maana nako kuna hii Serena Hotel au nako hutaki...??






 
Unavyojipa promo...watafikiri ni bonge la demu kumbe gumegume used!! unakula hela ya mtu kwa kutanua domo lako ilihali humtaki si uache kuchukua? njaa mbaya sana na jamaa akikufuma lazima akutie,
Ingekuwa mie wala usingeleta hizi sarakasi, eti upelekwe Mombasa kwa hadhi gani uliyonayo?

Hujui taabu ya hela wewe, sikuungi mkono kwa hili....utongozwe weye halafu utuletee mikwara sie....Arlaaaaa
 
Kwanini wewe usingemwambia akupeleke huko Mombasa kama unavyotaka..
 
mkuu unamuonea bure saa nyingine wewe mwenyewe kaona hadhi yako ni ya kupelekwa kijijini...

sasa nywele una twende kilioni na masiketi makubwa ndani umevaa magagulo unaishi yombo vituka au mbagala rangi tatu unadhani atawaza akupeleke wapi
 
mkuu unamuonea bure saa nyingine wewe mwenyewe kaona hadhi yako ni ya kupelekwa kijijini...

sasa nywele una twende kilioni na masiketi makubwa ndani umevaa magagulo unaishi yombo vituka au mbagala rangi tatu unadhani atawaza akupeleke wapi
Ahhahahahah
 
Akikupeleka mombasa akitaka vya mombasa utampa?
 
Ule vyangu kwa raha mustarehe then uzngue kutoa , nakupasua walai

Afu na ww unaonekana huna hofu ya mungu kabsa bac hata ndoa yako itakushinda

Na Kama humtak it is better ukamwambia mapema kuliko kumumiza mwenzio madem wecjui mkojeee#
 
Ndege mjanja hunasa tundu bovu
 
Ule vyangu kwa raha mustarehe then uzngue kutoa , nakupasua walai

Afu na ww unaonekana huna hofu ya mungu kabsa bac hata ndoa yako itakushinda

Na Kama humtak it is better ukamwambia mapema kuliko kumumiza mwenzio madem wecjui mkojeee#
Niwe na Hofu ya Mungu kwenye kuzini

Si bora nimekimbia zinaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…