Daby
JF-Expert Member
- Oct 26, 2014
- 34,961
- 80,240
Mkuu kati ya sehemu usizotakiwa kuweka vinyongo ni kwenye mapenzi....[emoji23]Dah! kwamba unajua live wanajivinjari na wanaume wengine
Sent using Jamii Forums mobile app
Jiulize umewaita babe wanawake wangapi hadi kufikia leo? Hao hao wanawake ni wake za watu tena wenye heshima zao.
Wengine hadi mlikuwa mnapakana mafuta na kunyoana nywele za sehemu za siri....leo wake za watu.
Na mkeo sasa ananyolewa na mabaharia....kaza moyo maisha yaendelee baba.