Jifunze kuwa Mwanaume kamili.....huu muda ambao unapitia changamoto za kifedha ndo muda mzuri wa kujua kuwa umepata mwanamke wa aina gani ndo wakati wa kupima mapenzi yake kwako kama atakuvumilia na kutokuonesha dalili za usaliti nakushauri huyo mweke ndani.
Unachotakiwa sasa hivi ni kumweleza mpenzi wako kuwa unachangamoto za kifedha hivyo kama atakuelewa na kukuvumilia mpk hapo hali yako itakapokuwa nzuri huyo ni mke.
Kingine na kushauri acha tabia za kugawa gawa pesa ovyo ukiamini ndo mwanamke atakupenda. Unaweza kumpa na yeye akawa anampelekea msela wake ambaye hana kitu lkn ndo hivyo demu kadata kwake, kwako nikukuchuna tu!
Kipindi unachopitia sasa kifedha kinakusaidia kujua type ya mwanamke uliyenaye
Sent using
Jamii Forums mobile app