Singasinga
JF-Expert Member
- Aug 27, 2011
- 2,741
- 3,316
- Thread starter
- #41
Mwezi uliopita nilijaribu hiyo njia,nikaanza kupata malalamiko toka kwa rafiki zake ambao kaniunganisha nao kuwa namtesa rafiki yao nimemchunia kwa kuwa nimeshapata nilichotaka nikasema fine ngoja nimtafute upyaAah hapo mute tu vimiezi viwili bila mawasiliano.
Lakini cha ajabu tulipoanza mawasiliano tena hadi leo hata kuja hom imekua kama tuko mikoani
Sent using Jamii Forums mobile app