Nivunje vipi haya mahusiano?

Nivunje vipi haya mahusiano?

Ndo maana dadangu naomba ushauri ni njia gani bora nitumie tu kuua haya mahusiano maana najihisi mnyonge sana hata papuch sipewi tena since march imagine[emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
Haupewi au ni wewe hauanzi kumchokoza chokoza?
Unataka alale kitandani akwambie haya njoo mkuu?
Changamka baba, tena wewe una bahati hauna hela na bado una kiu ya papuchi. Changamka.
 
Asante kwa ushauri ila kidogo najitahidi ila kwa kuwa hakitoshi nadhani ndo maana hata yeye kwa sasa ile mood ya mapenzi imebaki tu kwenye keyboard basi ila hom huu ni mwezi wa pili hajakanyaga na tupo mitaa jirani

Sent using Jamii Forums mobile app
Vzuri asante kwa kunipa picha .


Je umeshakaa naye kumuelezea kwann umebadilika kiuchumi ?????????.

Kama bado Kaa naye !!!.


Huenda nayeye anaamini umeacha mjali sababu una mwanamke mwengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haupewi au ni wewe hauanzi kumchokoza chokoza?
Unataka alale kitandani akwambie haya njoo mkuu?
Changamka baba, tena wewe una bahati hauna hela na bado una kiu ya papuchi. Changamka.
No mara ya mwisho alinambia eti ameamua kukaa carantine mwaka mzima bila ku do,sasa nianze kumbembeleza kwamba abadili maamuzi na sijamuoa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vzuri asante kwa kunipa picha .


Je umeshakaa naye kumuelezea kwann umebadilika kiuchumi ?????????.

Kama bado Kaa naye !!!.


Huenda nayeye anaamini umeacha mjali sababu una mwanamke mwengine?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yani wakati tatizo limetokea sikutaka hata kusubiri nilimwambia na akahaidi kuwa namimi mpaka mwisho

Lakini nnachokiona sasa ni kama amechoka na tumebaki kuitana majina mazuri yakimahaba kwenye simu basi
Ila hata kuonana labda iwe njiani kwamba saivi muda wa kuja kunitembelea homu hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiongee usichokijua, wanawake kwenye ndoa wana mizigo sana, tRNA bora hata mwanaume awe hana shughuli ya kumpatia kipato, kuna wale wana kipato lakini hazijali zao
Duuh pole mkuu kama wapitia hayo...acha nije pm tuyajenge basi?
 
Singasinga we must reduce the expenses in order to cope with the fallout from coronavirus-2019 and at the same time we need to be very carefully not to increase the cost of debt .

Muweke wazi demu wako.

Hakikisha unagusa kila hitaji lake nusunusu au kwa awamu awamu .


Wakati huohuo USIKAE KUKOPA MAHALI PIPOTE ILI MRADI umtimizie 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwaka mzima bila kusex? Tafuta tuu hela mkuu.
Ni hatar ndo maana nimeona hapa nijiongeze nitafute njia zipi nzuri maana mwezi uliopita nilijaribu kuuchuna yakawa mambo mengi eti lengo ilikuaga nilale nae tu ndo maana sai nampotezea,namimi siwez anza mwambia eti nimefanya vile kisa hatak kuja hom kama zaman

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Singasinga we must reduce the expenses in order to cope with the fallout from coronavirus-2019 and at the same time we need to be very carefully not to increase the cost of debt .

Muweke wazi demu wako.

Hakikisha unagusa kila hitaji lake nusunusu au kwa awamu awamu .


Wakati huohuo USIKAE KUKOPA MAHALI PIPOTE ILI MRADI umtimizie 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kaka ngoja ntajitahidi kufanya ivo nione inakuaje maana kiukweli afya ya mahusiano yetu imebaki kwenye simu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu sijafikia hatua ya kutotaka aandae mke...hapa kijiweni tu mkuu.

Kila mmoja anatoa experince yake.

Maisha ya siku hizi magumu saana kuandaa mke. Kutana na mke aliyekwisha andaliwa huko walau amejitosheleza jikokote naye tu umalizie maisha yaliyobaki.
😂😂😂😂
Sawa.
 
Yani wakati tatizo limetokea sikutaka hata kusubiri nilimwambia na akahaidi kuwa namimi mpaka mwisho

Lakini nnachokiona sasa ni kama amechoka na tumebaki kuitana majina mazuri yakimahaba kwenye simu basi
Ila hata kuonana labda iwe njiani kwamba saivi muda wa kuja kunitembelea homu hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
Ohooooo sasa nmekuelewa .


Kuna.mawili.... Toka mwanzo ulishindwa kuushika moyo wake na ukajikuta unamuhakikishia na kumlazimisha awe naww sababu una pesa ya kumtunza...now hali imebadilika naye kasepaa.


Au ulijitahidi sana kuushika moyo wake lkn yeye alikua keshafanya chaguzi lakua nawewe sababu ya pesa...( HAPA LAZIMA UTAFUTE PESA TU, HAMNA NAMNA )



na kwa kuzingatia maelezo ya upande wako mmoja tu, basi niseme , SHE IS NOT AN IDEAL WOMAN , hafai kua mke !!!... nahapa kuna mawili...

Uachane na mapenzi yake ,ufanye mambo yako


AU kama huna uhakika wa kupata demu mwingine, basi jifanye boya , akiwa anakukumbuka basi unajipigiaaaaa weee.


Sema nn unataka akuletee mzigo???


Mnunulie Magauni mawili ivi mazuri, na chupi chupi au hata na viatu kabisa .. piga pichaaa... mwambie Baby nlipita Dukani kwa mdada fulan rafiki angu, nikaona nikununulie zawadi hizi, naamini utazipenda sana ......


Yaan nachomaanisha hapo, Badili Pesa kua Vitu......alafu mfanye avifate kwako nasio wewe kumpelekea.


Hautaamini, alizoea kupewa 200K , atajikuta anagongwa kwa Gauni tu !!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yani wakati tatizo limetokea sikutaka hata kusubiri nilimwambia na akahaidi kuwa namimi mpaka mwisho

Lakini nnachokiona sasa ni kama amechoka na tumebaki kuitana majina mazuri yakimahaba kwenye simu basi
Ila hata kuonana labda iwe njiani kwamba saivi muda wa kuja kunitembelea homu hapati

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtavuka tu.. Cha muhim msitoleane maneno ya radhi/laana.

Mtavuka. Peaneni tu muda. Hakuna mwanamke mwingine. First love is always first.

Tumetoka huko...na tulivuka.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sawa.
Mimi nimeaandaa wake hawapungui watatu...wote hao wanajivinjari tu na wanaume wengine.

Huyu wangu naye naamini kuna mwanaume mwenzangu alijiandalia sema ndio hivyo akamponyoka... angalia nyuma umeshaandaa wangapi wewe....
 
Unaposema wanawake wanataka mtu mwenye kitu, je wewe kutaka huyo mwenye kazi na wewe si umetaka mwanamke mwenye kitu(kazi)?
Hewaaala.... eeeh ili twende sawa.....

Hii haiumizi saana kama mimi ndiye mwenyewe mwenye kitu.
 
Mimi nimeaandaa wake hawapungui watatu...wote hao wanajivinjari tu na wanaume wengine.

Huyu wangu naye naamini kuna mwanaume mwenzangu alijiandalia sema ndio hivyo akamponyoka... angalia nyuma umeshaandaa wangapi wewe....
Haahahaa...

Mimi basi nabahati sana.
 
Ohooooo sasa nmekuelewa .


Kuna.mawili.... Toka mwanzo ulishindwa kuushika moyo wake na ukajikuta unamuhakikishia na kumlazimisha awe naww sababu una pesa ya kumtunza...now hali imebadilika naye kasepaa.


Au ulijitahidi sana kuushika moyo wake lkn yeye alikua keshafanya chaguzi lakua nawewe sababu ya pesa...( HAPA LAZIMA UTAFUTE PESA TU, HAMNA NAMNA )



na kwa kuzingatia maelezo ya upande wako mmoja tu, basi niseme , SHE IS NOT AN IDEAL WOMAN , hafai kua mke !!!... nahapa kuna mawili...

Uachane na mapenzi yake ,ufanye mambo yako


AU kama huna uhakika wa kupata demu mwingine, basi jifanye boya , akiwa anakukumbuka basi unajipigiaaaaa weee.


Sema nn unataka akuletee mzigo???


Mnunulie Magauni mawili ivi mazuri, na chupi chupi au hata na viatu kabisa .. piga pichaaa... mwambie Baby nlipita Dukani kwa mdada fulan rafiki angu, nikaona nikununulie zawadi hizi, naamini utazipenda sana ......


Yaan nachomaanisha hapo, Badili Pesa kua Vitu......alafu mfanye avifate kwako nasio wewe kumpelekea.


Hautaamini, alizoea kupewa 200K , atajikuta anagongwa kwa Gauni tu !!

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16]Ndio kaka,Me kikubwa ni hicho kwanini ninyimwe mzigo? ndo maana nimewaza kwamba bora ijulikane tu kwamba siko kwenye mahusiano kuliko baby baby za kitoto kupeana moyo kumbe nshatemwa siku nyingi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nimeaandaa wake hawapungui watatu...wote hao wanajivinjari tu na wanaume wengine.

Huyu wangu naye naamini kuna mwanaume mwenzangu alijiandalia sema ndio hivyo akamponyoka... angalia nyuma umeshaandaa wangapi wewe....
[emoji23]Dah! kwamba unajua live wanajivinjari na wanaume wengine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom