Niulize swali lolote kuhusu Pemba na Wapemba

nikupe mfano mdogo tu baba yupo nyumba hana kazi yoyote amekaa tu unategemea nini zaidi? lazima akili ita-focus kwenye ngoni tu?
Nimekaa mikoa yote ya pwani na ninaifahamu vizuri sana ni wavivu kupindukia na wanapenda sana ngono kuliko kazi,vile vile kumbuka ukiwa mtu wa kazi hauwezi kuwaza ngono kila muda tofauti ukiwa hauna kazi.
Lakini kidoogo labda asili yao ya dini ndio vinavyowafanya wazaliane kwa wingi

Hayo maeneo ya pwani wakazi wake wengi ni wavuvi..wavuvi huvua usiku na kumpumzika mchana kisha jioni hufunga safari tena kwenda kuvua..kwa hiyo hili swala la kupumzika mchana linatafsiriwa kama uvuvi kimakosa...ukienda hata pale feri utakuta mpaka saa 4 mkojani/ mpemba keshafunga biashara yake na kurudi nyumbani kupumzika..sasa wewe ukimkuta amekaa nje na msuli wake huku pembeni yupo na mkewe basi una conclude kwamba ni wavivu na wanafanya mapenzi muda wa kazi!!!..kwa hiyo usiwe judgemental kwenye suala hilo..wapemba na watu wengine toka pwani si wavivu ndio maana wanajitosheleza kwa chakula na huwezi kuta omba omba mpemba..note mimi sio mpemba!
 
hivi kwa nini wapemba wanapenda kukaa chini ya miembe na kujisifia eti wao ndugu zao wako omani?

Mtoa mada atalitolea jibu hili japo nijuavyo baada ya mapinduzi baadi ya wapemba waliondoka oman na kuacha ndugu zao zanzibar. Kwa hiyo ni kweli wapemba wengi wana ndugu oman japo na wao namna wanavyoielezea hali hiyo ni kama vile wanatamba wao ni wa oman hapo ndipo wanapokera
 
Baba yupo nyumba hana kazi yeyote sijui ulimaanisha nini, ila kama ulimaanisha hafanyi kazi yeyote, je anaiendeshaje familia yake, alijengaje nyumba anayoishi, na kama amepanga ana mudu vipi kulipa kodi. Kuhusu dini hapa umeonyesha uwezo wako mdogo kujua mambo, sioni utendaji kazi na Dini kunauhusiano gani. Kama hivyo basi nchi nyingi za kiarabu ambako waislamu wengi wapo, zingekua maskini sana, hata Tanzania Tungezizidi. Nikufahamishe tu ukitaja matajilli sita Tanzania, wengi watakuwa Waislamu.
= matajiri
 
Wapemba wapo vizuri sana kwenye ujasiriamali ila wanaboa na wanaogopesha manake wengi inasemekana eti wanafuga majini sasa sijui hua wana namna wanayatumia kwenye biashara zao?
 
Kwanini Wapemba wanahusudu sana siasa hata kuthubutu kutengana kwa misingi ya kichama, matokeo yake wanaiacha dini?

Bayfe, kuhusu siasa na Wapemba nina majibu mengi sana, lakini nikupe tuu kwa kifupi kwanza ni historia ya kisiwa chenyewe kilikotoka na siasa zake ambazo tumezirithi kwa mababu zetu, Pili kuiona Pemba inasiasa sana kuliko sehemu nyingine ni sababu ya udogo wake na uchache wa watu wake. kama utaiangalia hata Bara ina siasa sana tuu lakini huwezi kuiona kwakua ina eneo kubwa na mzunguko wa watu wengi wa aina tofauti tofauti. Karibu tena
 
Baba yupo nyumba hana kazi yeyote sijui ulimaanisha nini, ila kama ulimaanisha hafanyi kazi yeyote, je anaiendeshaje familia yake, alijengaje nyumba anayoishi, na kama amepanga ana mudu vipi kulipa kodi. Kuhusu dini hapa umeonyesha uwezo wako mdogo kujua mambo, sioni utendaji kazi na Dini kunauhusiano gani. Kama hivyo basi nchi nyingi za kiarabu ambako waislamu wengi wapo, zingekua maskini sana, hata Tanzania Tungezizidi. Nikufahamishe tu ukitaja matajilli sita Tanzania, wengi watakuwa Waislamu.
Ni kweli matajiri wengi waarab na wahindi waislam lakini nyie weusi wengi wenu ni wa kutumwa halua tende kahawa na kusafisha mtoto.
 
Wapemba wapo vizuri sana kwenye ujasiriamali ila wanaboa na wanaogopesha manake wengi inasemekana eti wanafuga majini sasa sijui hua wana namna wanayatumia kwenye biashara zao?

Mkuu nikutoe waswas kwa sasa hivi hakuna Mpemba anaefuga jini kwa biashara hususan walioko nje ya Pemba ila bado wapo wachache ndani ya Pemba wanaofanya hivo.
 
wabara kwa ubaguzi hamuwezekani asilani!! mara wapemba wavivuu Mara wabaguzi Mara tunazaa sana wengine wanasema wapemba magaidi sie tulii tunawaangalia tu
Mngebakuliwa msingejazana apo ilala na kibada!!acha kulialia wakati wabara wanawasitiri sana,mshukuru Mungu sana,mpk ardhi mnanunua,mnajenga,wengine wameo huku wkt wabara hata sqm moja hawaruhusiwi kumiliki pemba wala unguja!!
 
AlhamduliLlah katika safari zangu za hapa na pale nimefika Pemba na nikapapenda sana na nikajenga urafiki wa kufa na kufaana na Wapemba wengi.

Kusema za haki, Wapemba ni wakarimu sana, kisiwa chao ni super green na kizuri sana, vyakula vyao pia vizuri.

Baada ya kwenda kwa mara ya kwanza Pemba kama miaka 20 iliyopita na udugu nilioujenga na Wapemba basi AlhamduliLlah haipiti mwaka nakwenda mara mbili au tatu.

Ma sha Allah.
Dada Faiza Karibu sana tena sana kwa mara nyingi zaidi, wengi wanaisema Pemba na Wapemba tofauti kabisa na hasa wanaoisema ni wale waliokua hawaijui Pemba na Hawajui Wapemba wenyewe.

Karibu sana mara nyingine ukifika Pemba nipo Mji mmoja unaitwa Wete, Kwa Pemba mimi ni Maarufu kuliko Maalim SEIF.

Karibu sana.
 
Wapemba wapo vizuri sana kwenye ujasiriamali ila wanaboa na wanaogopesha manake wengi inasemekana eti wanafuga majini sasa sijui hua wana namna wanayatumia kwenye biashara zao?
Kwani hujamsikia threader mwenyewe anaeleza Pemba inaongozwa na majini kabla ya chochote.
 
nawe mbona kinyuma nyuma sana!! sie wapemba popote tukutanapo ndugu hivyo kumjibia ndugu yangu ktk jambo la kheri hata sioni shida!! sawaa Mr na uache kudandia dandia ipo siku utandia mwendokasi utashushwa kituo si chako!

Ndugu yangu karibu sana kwenye uzi huu, unaweza ukakutana na maswali ya kuudhi sana ndio changamoto hizo ila haitakiwi kutoa majibu ambayo yako nje ya utamaduni wetu. karibu sana.
 
Kwani hujamsikia threader mwenyewe anaeleza Pemba inaongozwa na majini kabla ya chochote.
Mkuu iyo si ilikua zamani sana,nata kujua hawa jamaa waliopo huku bara saivi kuna namna wanayatumia kibiashara,kufaidika mfano kuvuta wateja nk au kwy uvuvi etc manake unakuta duka la mtanganyika na mpemb wamewekeana mgongo ila mtanganyika anauza kwa kusua sua sana,ila Mpemba dah mwanzo mwisho!
 
Mngebakuliwa msingejazana apo ilala na kibada!!acha kulialia wakati wabara wanawasitiri sana,mshukuru Mungu sana,mpk ardhi mnanunua,mnajenga,wengine wameo huku wkt wabara hata sqm moja hawaruhusiwi kumiliki pemba wala unguja!!

Mkuu kwanza karibu sana Pemba, ukisema Wabara hawaruhusiwi kujenga Pemba kama utaniwekea ushahidi hapa nitakuwa pamoja na wewe lakini kama utasema kwa jazba tuu nitakupuuza. Kuhusu suala la kujazana Ilala na sehemu yoyote ya bara toa hofu kwa hilo na Wapemba, nikupe mfano tuu kama unavowaona wahindi walivojazana kwenye hii dunia kila sehemu basi na Wapemba ni Wapili yake, wapemba hawako ilala tuu wako karibuni dunia nzima. karibu sana
 
Ni kweli matajiri wengi waarab na wahindi waislam lakini nyie weusi wengi wenu ni wa kutumwa halua tende kahawa na kusafisha mtoto.
Soma uelewe mkuu, tulipoanzi niliemjibu ameelezea uvivu unatokana dini, na kwa watu ukanda pwani, wengi wao ni waislamu anamaanisha waislamu ni wavivu. Ndipo nimemuonyesha ili aone hasivyokuwa na uwezo wa kujenga hoja, kumbe nawe umeangukia humo humo, wewe ni mzungu?
 
Mkuu iyo si ilikua zamani sana,nata kujua hawa jamaa waliopo huku bara saivi kuna namna wanayatumia kibiashara,kufaidika mfano kuvuta wateja nk au kwy uvuvi etc manake unakuta duka la mtanganyika na mpemb wamewekeana mgongo ila mtanganyika anauza kwa kusua sua sana,ila Mpemba dah mwanzo mwisho!

Sasa hapo ndio wengi nadhani wanahitaji ufafanuzi wa kujua Wapemba kwanini wanavutia sana wateja madukani kwao? Mkuu nikwambie tuu kama utachunguza au jaribu kuchunguza nenda dukani kwa mchaga ipungue sh100 kama atakuachia kitu chenye thamani ya 10000 uondoke nacho. ukiuza biashara bila ya kumjali mteja wako ni kujitengenezea kafara wewe mwenyewe bila ya kujua. Ninakuhakikishia itamaliza dunia Wapemba watakuwa ni watu wa kuendelea tuu kwenye Biashara zao kutokana na kujali Utu wa Mtu tuu hakuna chengine. Hebu angalia mpemba hata ukimdangaynya kama pesa imekupungukia na anaweza kukuamini na akakupa unachokitaka akakwambia utarejesha, je huu utu kama huo kwanini huusemei? je hujui kuwa utu kama huo unaweza ukawa chanzo cha mafanikio?

karibu sana
 
Soma uelewe mkuu, tulipoanzi niliemjibu ameelezea uvivu unatokana dini, na kwa watu ukanda pwani, wengi wao ni waislamu anamaanisha waislamu ni wavivu. Ndipo nimemuonyesha ili aone hasivyokuwa na uwezo wa kujenga hoja, kumbe nawe umeangukia humo humo, wewe ni mzungu?
SIAMINI YANAYOZUNGUMZWA NENDA KARIAKOO UJUE WAPEMBA NI WACHAPAKAZI MAGOROFA MENGI NI YA WAPEMBA WAMEPENYA HADI KUSIKOFIKIKA WAKITAFUTA MAISHA NAFIKIRI WEWE UNACHEMBE YA CHUKI TAJA MATAJIRI WAKUBWA TZ UTAONA WAISLAMU NI NANE NA UTAJIRI WAO HAUKUSHUKA WAMEFANYA KAZI
 
Back
Top Bottom