Niulize chochote nikujibu

sawa kwenye frequency tupo pamoja, sasa vipi kuhusu kutafsiri giza kwa kutumia mwanga, kwanini unafikiri haiwezekani kutafsiri giza bila kugusa mwanga..?
 
Frequency ndo kama kitu gani
 
Akili mnemba.
Ni tusi?
La kumuumiza mtu?
Tangu lini?
Come on man! 😂
kafanye utafiti wako kuhusu akili mnemba halafu uje hapa!, ila usije huku unalia jifutie machozi hukohuko!.
ama kuna nyuzi humuhumu watu huziandika kwa kutumia akili mnemba ukibahatika kuzisoma ndo utaelewa kwanini nalitumia hilo neno kama tusi...🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…