The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 5,222
- 8,526
Yaani akuloge au vipi?? Upo unyamwezini sehemu gani??Mimi mnyamwezi hadi atumie dawa ndo ntamuoa
Yaani akuloge au vipi?? Upo unyamwezini sehemu gani??Mimi mnyamwezi hadi atumie dawa ndo ntamuoa
Waha na wanyamwezi hawana tofauti siyo.Inaweza kuwa kiongozi lakini sijui
Kun ukweli Fulani,hat Makao.Makuu Sikonge Pamelala, ni Kijiji kilichochangamka!.. ila kufunguka Kwa Barabara ya Lami Tabora hadi Katavi ,kumeanza kuamsha watu...inshallah,Wasukuma wanahamia.kwa Kasi ya ajabu ...wasipothibitiwa misitu itatoweka miaka 20.ijayo!Wanyamwezi pia wamegawanyika katika makabila madogomadogo kwa mfano Wakonongo, wapimbwe nk,
Hii ni wilaya kubwa pengine kubwa kuliko zote Tanzania kwa ukubwa wa takribani 27,873 kilometre za mraba, ni wilaya iliyosahaulika kabisa kimaendeleo tangu miaka ya Uhuru, wananchi wake wengi wao wanaishi katika dimbwi la umaskini mkubwa, Wilaya hii ilikuwa inajulikana kama Wilaya ya Tabora vijijini hadi miaka ya 2000 ndipo ikapewa hadhi ya kuwa wilaya kamili.
Hizo ni athari za DP WorldWengi wanaofanya kazi ni Waha, Wahangaza na Wasukuma na wanawake wa kinyamwezi lakini wanaume ni kupendeza wavivu sana
Duuh,ndugu yangu kabisaMie nakaa mtaa wa Gama, kama unaenda mwakitako
Asante sana,tuwasilianeUsunga kwetu pale Makutano kwa mwana KAVENGA
Yaani akuloge au vipi?? Upo unyamwezini sehemu gani??
Waha na wanyamwezi hawana tofauti siyo.
Yaani akuloge au vipi?? Upo unyamwezini sehemu gani??
Siyo kweliMikoa wanayokaa wasukuma na wanyamwezi karibia maeneo yote bado ni maskini sana. Inatakiwa Rais mwingine ajaye kuanzia 2025-2035 awe type ya JPM ndiyo waweze kutoka. Ndiyo maana mimi kwa sasa hivi "ninayempigia debe" kwa Mungu ni Majaliwa. 2025 tukienda na Majaliwa anaweza kuwatoa hapo walipo wakatoka milele, na pia watanzania wengine walioko kwenye maeneo mengine popote pale ambayo bado yako kwenye hali ya umaskini unaofanana na huo!
Hapo ilikuwa ni Alhamis ya tarehe 19 Novemba 2020, miezi minne kamili mbele kabla ya Hayati JPM kutwaliwa na BwanaSiyo kweli
Siyo kweli kwamba Koboko anaweza kumgonga mtu aliye ndani gariKuna hoteli moja tu nzuri, kuku wa kuchoma wapo sehemu moja tu (kwa mujibu wa muda nilipopita huko) wilaya ni kubwa mno mno mno. Wakati tunapita maporini tuliambiwa tusiache vioo vya gari wazi tusijegongwa na koboko.
kuna muhenga humu anaitwa Sikonge