Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Niulize chochote kuhusu nchi Marekani

Bullshit

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2016
Posts
1,366
Reaction score
1,638
HELLO TANZANIA
habari zenu Wana JF na TANZANIA kwa ujumla
Ni mwaka mmoja tangu nifike nchini marekani kutokea nchini Tanzania kambini nyarugusu

Ningependa nichukue muda huu unihulize chochote kuhusu NCHI ya marekani

mf; Kazi,utamaduni,Maisha
Ningependa kuwakumbusha kuhuliza pia kuhusu bendera,najua wengi wenu hawajuw kuhusu bendera ya USA


Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi ni wana JF sio wana JR

Screenshot_20190215-114135.jpeg
 
Hali ya hii issue ya ku boycott gucci products iiipoje huko uliko?
HELLO TANZANIA
habari zenu Wana JR na TANZANIA
Ni mwaka mmoja tangu nifike nchini marekani kutokea nchini Tanzania kambini nyarugusu

Ningependa nichukue muda huu unihulize chochote kuhusu NCHI ya marekani

mf; Kazi,utamaduni,Maisha
Ningependa kuwakumbusha kuhuliza pia kuhusu bendera,najua wengi wenu hawajuw kuhusu bendera ya USA


Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
563e6aa03bf4022c080e3f282d72d7ba.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utadakwa kama kuku kama huna vibali....
Inaonekana hujui ...unaandika Uzi huna info za kujibu watu. Mimi nimeshuhudia watu wengi ninao wafahamu sio story za kaambiwa walikuja huko.VISA zikaisha muda na wanaendelea kubaki huko na maisha yanaendelea. Na wengi tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inaonekana hujui ...unaandika Uzi huna info za kujibu watu. Mimi nimeshuhudia watu wengi ninao wafahamu sio story za kaambiwa walikuja huko.VISA zikaisha muda na wanaendelea kubaki huko na maisha yanaendelea. Na wengi tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio nakwambia kuna siku watadakwa kama kuku...subiri waumwe waende hospitali wakati wa kuchukua taarifa zao utaniambia!!.....kila kitu kipo kwenye system....
 
1.ukizamia huko I mean uanze kuishi bila vibali changamoto za maisha zikoje kazi, huduma etc
2.je wastani wa kipato kwa mwezi kwa kazi za hapa na pale ni kiasi gani na unaweza kusave kiasi gani?
3.je ukioa huko Inakuweze kupata haki zipi za kuishi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa marekani unatakiwa na kadi ya kuruhusiwa kufanya Kaz nchini marekani huwe na kadi ya kurekod mwenedo wa Maisha(social security)

Marekani Kuna Aina tati za kaz
Entry job(Kama kuosha vyo) malipo kwaiyo saa na inatemea Ila inaanza na Dola 7-10 na kuendl

Skills job(Kama vile fundi Bomba) kwa saa 25 na kuendl...na
Na profession(Kama vile doctor kwa mwaka....

Na zote zinatemeana.ni ngumu kuandka vyot nnatakiwa kujb wngn


Marekani Maisha ni bidii yako ya Kaz maana Kaz n nyng

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1.ukizamia huko I mean uanze kuishi bila vibali changamoto za maisha zikoje kazi, huduma etc
2.je wastani wa kipato kwa mwezi kwa kazi za hapa na pale ni kiasi gani na unaweza kusave kiasi gani?
3.je ukioa huko Inakuweze kupata haki zipi za kuishi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Una haji Sawa na raïa,Ila uwez fanyakazi Kaz serekalin na ukiomba uraia ukipewa uwez kuwa rais au makamu wa rais

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom