beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,762
- 2,736
Huna unalijua pumba tu unajibu ww unadhani tony madola alitukanwa kwaajili ya recism ,,, moja ya chanzo cha kifo chake ni pale aliposlimu na kutaka kuutangazia uma ubaya wa secret society., .
Pua alibadili kweli ...sababu zinazotolewa ni kutokana na muonekano wa pua yake akiwa mdogo iliyofanya ataniwe sana hata Baba yake Joe Jackson alikuwa akimuita Mj " Big Nose"
Tatizo Umeuliza Utumbo Utafikili Una Mavi Kichwani Badala Ya Ubongo,
hujauliza swali umetoa kashfa
Huo ugonjwa wa ngozi uliomfanya awe anafanya 'make up' kwanini hakuusema kipindi akiwa hai? Je, make up ilijumuisha na uchongaji wa pua? Maana pua yake nayo ilibadilika muonekano tofauti na alivyokuwa awali...
Vp kuhusu Cleverland(sijui kama nimepatia), lile eneo alilokuwa anaishi...
Bibi yake Michael wa sita anaitwa nani??
Moonwalk ilikuwa inapigwa na watu kibao miaka mingi kabla hata Michael hajazaliwa kuanzia kina Billy Baily na wengineo, hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa aliiga kutoka kwa nani ila Moonwalk inabakia kuwa Signature move ya michael na yeye ndiye aliyeipa umaarufu DunianiAliiga "moonwalk" kutoka kwa nani?
Moonwalk ilikuwa inapigwa na watu kibao miaka mingi kabla hata Michael hajazaliwa kuanzia kina Billy Baily na wengineo, hakuna ushahidi wa moja kwa moja kuwa aliiga kutoka kwa nani ila Moonwalk inabakia kuwa Signature move ya michael na yeye ndiye aliyeipa umaarufu Duniani
Kuna mtu maalum ambaye Michael Jackson alimuiga.