Niulize chochote kuhusu Michael Jackson


Kwa hiyo ulitaka aseme exactly yeye ni nan ndo uwe umeamini .. That y they are called the secret societ . Very few people can detect ..the thing
 
Kwa hiyo ulitaka aseme exactly yeye ni nan ndo uwe umeamini .. That y they are called the secret societ . Very few people can detect ..the thing

Then how did you know about secret societies?so they are no longer secret any more .its just ones plan to make money on shortful thnkers that you spend a lot of time to thnking abt this bulsht while thy work hard to gap us day n night.wak up n believe in yourself u can just top it .
 


Ok ..
So how can you use Very superior intravenous general anesthesia such as PROPOFOL at very high dose just for inducing sleep ? If that is not enough the physician added BENZODIAZIPIN JUST for inducing sleep what type of SLEEP did he want to achieve. I never heard it before ..
 

Umezaliwa lini? jee na yeye alikuwa anakufahamu au wewe unajipendekeza tu?
 
He was a member of kkk

Tokea lini KKK ikachukuwa mtu mweusi? Hicho ni kikundi cha white supremacist na kama ingewezekana wangewaondoa weusi wote huko marekani.

KKK ikikumbana na mweusi hata barabarani inamuua au kumuadhibu.
 

"and tomy matola is a devil"
 
hapo na mimi kunipa utata maana nyimbo zilizoimbwa cku ya kifo chake na utaratibu ulikuwa ni za gospel ikiwemo "soon and very soon"...sina uhakika kama mashahidi wa yehova huwa wanaaga

Mashahidi wa Yehova huwa wanaaga mwili kama kawaida,lkn kumbuka kwamba hadi anakufa hakuwa Shahidi wa Yehova na ndo maana nyimbo na utaratibu wa mazishi havikuwa vya Mashahidi wa Yehova.
 


Am deep in such on this.this happened after three trial to induce sleep using the very normal drugs failed.by the way MJ used propof before as he called it my milk(refer to last days of MJ,and what happened on 25 video clips)coz the very normal dosage failed is why conrad used the propofol
 
Mkuu acha kashfa, kama hujaridhika na majibu nambie ni kujibu vipi au unataka majibu ya NDIYO au HAPANA!?

Achana naye huyo. Labda anaona wivu unavyojibu vizuri. Anatamani angekuwa yeye ndo anajibu hivyo na watu wanmuuliza.....Watu wengine bana...
 
Huna unalijua pumba tu unajibu ww unadhani tony madola alitukanwa kwaajili ya recism ,,, moja ya chanzo cha kifo chake ni pale aliposlimu na kutaka kuutangazia uma ubaya wa secret society., .

Mkuu unavyoshupaa utadhani unajua kitu kumbe hola kabisa!! Who is Tony Madola?!! Sisi tunamfahamu Tony Mutola!! Huyo Madola sijui umemtoa wapi! You are less informed aisee!!
 
Tokea lini KKK ikachukuwa mtu mweusi? Hicho ni kikundi cha white supremacist na kama ingewezekana wangewaondoa weusi wote huko marekani.

KKK ikikumbana na mweusi hata barabarani inamuua au kumuadhibu.

Nikisem kkk najarib kuzungumzia societ zote ambazo zipo chini, yake...
 
Tokea lini KKK ikachukuwa mtu mweusi? Hicho ni kikundi cha white supremacist na kama ingewezekana wangewaondoa weusi wote huko marekani.

KKK ikikumbana na mweusi hata barabarani inamuua au kumuadhibu.

Nashangaa walioleta hoja za KKK
 

Upo less informed halafu ni mmbishi, Michael hakumtukana Tony ila alisema ukweli kuwa Tony ni Mmbaguzi hakumtukana kama angemtukana kwa ukubwa wa tony lazma angekuwa sued asee labda neno matusi liwe linamaanisha maana nyingine....

Ni mjinga pekee ataamini hizi conspiranza
 
I always watch videos and not reading lyrics only

Kwani zipo under nani...!??

unakuwa mwepesi wa kuamini mambo ya ajabuajabu na wala huna facts... haya tuambie zipo under nani
 
Upo ryt sana mkuu, na tena hiyo video akisema hvyo ilikuwa public kabsa. Si huyo tu haya yule mshkaji wa pirate of caribean nae alisema meng kuhusu hawa watu wanao run hollywood,,,,,,Wasanii weng ambao walijua real truth walipotezwa,

Kama kweli upo sahihi Michael wangemuuwa tokea miaka ya 80 maana enzi hizo ndo alikuwa kwenye peak..

Michael alikufa kutokana na overdose na daktari alishtumiwa kwa Manslaughter..

Ikumbukwe kila star akifa mnahusanisha na hayo mambo yenu yasiyokuwa na mbele wala nyuma, angekufa mudy wa mbagala msingesema

Ila mastaa kama Michael, elvis presley , John lenon vifo vyao vinatengenezewa habari ili watu wapate pesa...., tujaribuni kushughulisha na akili zetu jamani si kila information uamini tuuu ilimradi umeskia mzungu kasema
 

Usitake kubisha uonekane mbishi tu,,,hakuna mashindano ya kubishana zipo facts zmetolewa take em or leav em,,,

Bt jua kila kitu kinaenda kwa nyakati.
 

hata mimi nikikifuatilia sana life yako naweza nikaibua mambo mengi mno mabaya na nikadraw conclusion mbaya.Ile Documentary Ni Ujinga Wa Muislam Fulan Kumtumia Michael Jackson Kama A World Superstar Ili Kuleta Ushawishi Wa Watu Kusilimu. Ni Ujinga Mtupu Nakubaliana Na Wewe
 

Hizi documentary zimekuwa za uchwara
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…