Niulize chochote kuhusu mapenzi...

Niulize chochote kuhusu mapenzi...

dah, mkuu ila wewe nawe ni mshamba kweli! hivi hujui kuna reply with quote?

mbona wajiandikia tu bila kurefer umemjibu nani?

mbona nakuona wa zamani humu!!


hebu rudi kule jukwaa la intro upewe lecture kwanza then uje hapa!
Nilikuwa natumia simu ya mchina mkuu, sungsung t787..
 
Hii mada ilikuwa nzuri sana katika kuelimishana, lakini nashangaa mods wameiweka jukwaa la chitchat..
Please mods rudisheni kwenye jukwaa la mapenzi tupate kuelimishana maswala ya mapenzi..

cc: #buchanan
 
Toka hii mada iwepo hewani sa ivi kila mtu anataka aandike "niulize chochote" bila kujua kama hicho chochote anakijua..
Shame upon copiers...
 
Back
Top Bottom