The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 4,224
- 6,367
Ni kweli ila si kwa kiwango cha mkoa wa Kilimanjaro, na sababu nyingine umeuliza kuhusu mkoa huo na siyo mingine.Hayo mambo kila jamii yapo, sema pengine unaweza kuona jambo hilo liko sana kutokana na wewe huenda ukawa mmoja wa hiyo jamii. Lakini kama ungekuwa wakutoka jamii nyingine vilevile ungesema hata jamii yako kuna mambo kama hayohayo
kila jamii ina tamaduni zake, huenda wakawa wanavaa sasa kama ulivyoulizaMademu wa kichaga hivi wanajua kuvaa shanga siku hizi ???