The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 4,214
- 6,348
Habari zenu wanajamii,
Lengo la mimi kufungua huu uzi ni kutaka kuwaunganisha watu wote, kutoka maeno mbalimbali, nje na ndani ya mkoa Kilimanjaro
Hivyo basi ikiwa unataka au unatamani kuuliza kuhusu kupanda mlima Kilimanjaro, wataka kujua kuhusu utamaduni, mila ana desturi ya wa watu watokao mkoa huo, (Kilimanjaro) au pengine wahitaji huduma itolewayo au ipatikanayo mkoa wa Kilimanjaro na hujui wawezaje ipata. Kupitia uzi huu ni mahala sahihi kupata yote ujiulizayo kuhusu au kuihusu mkoa huu wa Kilimanjaro
Hivyo basi wahitajika ufanye nini?
Kuuliza swali: Reply post hii kwakuuliza swali au kuomba ufafanuzi juu ya jambo fulani kwaufupi (gharama yakuapanda mlima kwamtu mmoja ni shilingi ngapi?)
kujibu swali: tafuta comment hii kwakui reply kwa maoni, ushauri au mapendekezo
Tutumie uzi huu kwaku share maarifa mbalimbali kwa wale wote wenye uhitaji.
Mfano wa swali langu nalotaka kujua majibu au maoni yake (Ikiwa nataka nunua shamba la heka 10 mkoa wa kilimanjaro maeneo ya ndani ndani sehemu yeyote naweza kupata kwa shilingi ngapi?)
Mshana Jr
Mamndenyi
Moderator tafadhalini sana.
Lengo la mimi kufungua huu uzi ni kutaka kuwaunganisha watu wote, kutoka maeno mbalimbali, nje na ndani ya mkoa Kilimanjaro
Hivyo basi ikiwa unataka au unatamani kuuliza kuhusu kupanda mlima Kilimanjaro, wataka kujua kuhusu utamaduni, mila ana desturi ya wa watu watokao mkoa huo, (Kilimanjaro) au pengine wahitaji huduma itolewayo au ipatikanayo mkoa wa Kilimanjaro na hujui wawezaje ipata. Kupitia uzi huu ni mahala sahihi kupata yote ujiulizayo kuhusu au kuihusu mkoa huu wa Kilimanjaro
Hivyo basi wahitajika ufanye nini?
Kuuliza swali: Reply post hii kwakuuliza swali au kuomba ufafanuzi juu ya jambo fulani kwaufupi (gharama yakuapanda mlima kwamtu mmoja ni shilingi ngapi?)
kujibu swali: tafuta comment hii kwakui reply kwa maoni, ushauri au mapendekezo
Tutumie uzi huu kwaku share maarifa mbalimbali kwa wale wote wenye uhitaji.
Mfano wa swali langu nalotaka kujua majibu au maoni yake (Ikiwa nataka nunua shamba la heka 10 mkoa wa kilimanjaro maeneo ya ndani ndani sehemu yeyote naweza kupata kwa shilingi ngapi?)
Mshana Jr
Mamndenyi
Moderator tafadhalini sana.