Niulize chochote kuhusu eneo la Kimara!

Niulize chochote kuhusu eneo la Kimara!

Kwa mara ya kwanza mwaka gani yalianza kuwa makazi ya watu?
 
We gamba utaijulia wapi kimara wewe? Sana sana labda pale gengeni mlipojaza mabendera yenu juu ya maduka ya watu.
 
Kwa mara ya kwanza mwaka gani yalianza kuwa makazi ya watu?

1972 chini ya sheria ya ugawaji vijiji,ingawa baadhi ya maeneo yalibakia mashamba ya tanganyika packers
 
mbona wachaga ni wengi huko

mnatuchosha na hizi thread za niulize chochote

Wachaga wengi kimara kutokana na wafanyabiashara wa kariakoo,kuona bei za viwanja bei rahisi,vilevile wachaga wengi waliokua wafanyakaz weng wa serikal walitumia fursa ya ugawaj viwanja miaka ya 70,80's.
 
We gamba utaijulia wapi kimara wewe? Sana sana labda pale gengeni mlipojaza mabendera yenu juu ya maduka ya watu.

Ntake radhi mkuu,nkiskia hilo jina naskia kutapika,mi CDM 4 really@team mnyika,kimara magengen mabendera meng ya nyinyiem sababu wanaofisi pale,na parking ya magari,by tha way tumefika kimara 1985,naijua kwa kiwango hicho.
 
Na kimara stop over asili ya ilo jina

sina uhakika sana,ila nackia miaka ya zaman wakati wa barabara moja hiyo sehem ilikuwa kama sinza kwa starehe,kwa hiyo watu walikuwa wanasimama hapo kuburudika kabla ya kwenda maeneo kama mbezi ampapo palikuwa bado,hapajaendelea.
 
kwanini maeneo hayo kunauzwa sana kitimoto?

Kimara wakristo wengi,vilevile uwepo wa wachaga wanaopendelea sana chakula hiko,wafanyabiashara wengi wa kariakoo,wakitoka wanapenda kupitia jioni,kupata mnyama na bia baridii.
 
mbona wachaga ni wengi huko

mnatuchosha na hizi thread za niulize chochote

Alianzisha mmoja niulize chochote kuhusu Mkoa wa singida, nakumbuka aliitendea haki thread kuhusu mkoa huo wa singida alijibu maswali vizuri na kwa ufasaha, sasa naona watu wanaibuka tu na niulize chochote, mwisho watatuambia tuwaulize chochote kuhusu wake zao
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom